Kabisa
Hata sisi Chuoni kuna jamaa alikuwa hamalizi chuo.....baada ya miaka kadhaa nikamkuta tena Iringa yupo chuo.....duuh....siku ya siku namkuta kumbe ni ngelewee kavaa suti yupo kwenye msafara wa waziri mkuu....mamaa
Nunua daladala kubwa weka route ya Mbezi...Mpigi magohe au Mbezi...Msumi.
Makusanyo kwa siku 250,000 = 7,500,000 kwa mwezi....Sasa hapo zikitokea hadithi huwezi kosa 5m.
Angalizo....kama ukiweza kukomaa mwenyewe ndio hela utaiona
Kwa Msumi mjumbe ni dili....haya ni makazi mapya....raia wako bize..kutoka alfajiri kurudi giza...unakutana na barua ya mchango wa barabara....mchango wa umeme....mchango wa maji....mchango wa ulinzi shirki..na kadhalika wa kadha
Ingenoga sana kama ungekiswahilisha...
Hata hivyo...kama Adam na Hawa...wangekuwa waChina basi badala ya kula tunda wangemtafuna yule nyoka...halafu dunia ingekuwa mahala bora PA kuishi....au sio vep bwan.🙂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.