watanzania mmegeuka kuwa mazuzu. lowasa siyo chochote ila anaumarufu wa nguvu ya pesa hana nguvu ya Muna. ache kugawa hizo fedha zake . Aache kukimbilia makanisani na misikitini home kama huko umarufu upo. kinachowatesa baadhi ya watanzania ni kuwa na akili kama ya kuku. tunasahau mambo kwa mda...
inasemekana rais wa rwanda bwana paul kagame ameuawa kwa kupigwa risasi nchini kwake. tarifa kamili ntawajuza chanzo ni serikali ya Kongo.
IKULU YA RWANDA YAKANUSHA TETESI ZA KIFO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.