Kwa mujibu ya matakwa ya wajumbe wa bunge maalum la katiba wanaopendekeza uwepo wa serikali mbili, kwamba kuwepo na rais na makamu wawili mmoja kama mgombea mwenza na rais wa Zanzibar awe makamu wa pili, swali RAIS WA ZANZIBAR ANACHAGULIWA NA WAZANZIBAR IWEJE AJE AONGOZE BARA AMBAO HAWAJAHUSIKA...
Wadau kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Jeshi la Polisi kuhusu wale wote wanaotumia vyeti bandia kujiondoa kwa hiari linafikia tamati leo. Wadau wanasubiri kuona ni hatua gani zitachukuliwa kwa wale waliokaidi amri hiyo, mtihani huu mkubwa wa kwanza kwa mkuu mpya wa Jeshi hilo na timu yake...
Tumekuwa tukiwasikia viongozi mbalimbali wa serikali, dini, siasa na Asasi wakiwasihii UKAWA warudi bungeni kuendelea na mchakato wa katiba, mbona hatuoni nguvu kama hiyo ikitumika kuusihi upande wa pili kwenda kujadili rasimu iliyotokana na mawazo ya wananchi? Iweje ushauri ujikite upande mmoja...
Jamani wana JF naomba kupewa ufafanuzi juu ya hawa mawaziri 4, kuna baadhi ya vyombo vya habari waliandika na kutangaza kuwa mawaziri 3 walifukuzwa ila mmoja alijiuzuru, vingine vingine vilitangaza wamejiuzulu na vingine wakatangaza Rais katangaza kutengua uteuzi wao huku mwingine akitangaza...
Jamani tumsaidieje huyu dada? Wana JF, kuna dada anaomba msaada ili aweze kupata haki yake anayoona inataka kudhulumiwa.
Mdada huyu alikuwa anafanya kazi katika shirika moja linaitwa SEDA tawi la Kagera ila makao makuu yake ni ARUSHA...
Wana JF, kuna dada anaomba msaada ili aweze kupata haki yake anayoona inataka kudhulumiwa.
Mdada huyu alikuwa anafanya kazi katika shirika moja linaitwa SEDA tawi la Kagera ila makao makuu yake ni ARUSHA, kafanya kazi miaka miwili lakini leo kaachishwa kazi kwa kosa la KUBEBA UJAUZITO kabla...
Sijui hawa jamaa wanataka kuniibia, majuzi nimetumia huduma yao nikatoa laki 6 bila tatizo, jana naenda kutoa hela wakanifungia line kisa wanadai pin yangu siyo sahihi wakati ndo naitumia kila siku, kuwapigia wakadai nibadili pin yangu na kwamba ndani 24 hrs nitaruhusiwa, yamepita leo naenda...
:help::help: Kama mjadala wa jana ulikuwa unahusu Katiba, mjadala huo ulipelekea baadhi ya wabunge wa upinzani kutoka nje ya ukumbi wa bunge kwa kile wao wanachodai ni kutoshirikishwa kwa baadhi ya mambo katika mchakato huo, lakini Naibu Spika aliruhusu mjadala kuendelea, nampongeza kwa uamuzi...
:A S-key: Jamani kwa mnaojua haya mabadiliko tunaomba kupewa ufafanuzi, kwani kabla ya aliyekuwa waziri wa uchukuzi kabla ya Mwakyembe, waziri huyo ambaye ni Omar Nundu aliwahi kufika eneo moja linaitwa EKUNGU liko kijiji cha Kigera Etuma wilaya Butiama zamani Musoma vijijini mkaoa wa Mara...
Ndugu waziri, unakijua kijiji cha Kigera Etuma kiko wilaya ya Butiama mkoa wa Mara, ni kijiji jirani na unakotoka wewe.
Kijiji hiki kina mgodi wa dhahabu kwa zaidi ya miaka 20 sasa, mwanzo walikuwepo Waafrika kusini wakachimba wakachukua chao wakaondoka.
Kabla ya hapo walipita na helkopita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.