Wazungu wote duniani staple food yao wengi ni vyakula venye asili ya ngano hasa hiyo mikate, cakes,pizza na mengineyo sio usasa ketu huku ndo usasa. Dah hapo tafuta restaurants za wanigeria au wakongo lasivyo ni mwendo wa ngano
Kele za chura hazi mzuia ng'ombe kunywa maji unless chura wewe wengi kwenye chombo ndipo ng'ombe ataacha. Ww na wengine tupo huku mtandaoni na porojo ingieni uwanchani mcheze ngoma lasivyo ni useless hahahahahahhahahahahahahahahaha
Nilitaka sana kumjibu huyu dada,mama, Binti whatever might that be, embu tuelezee tomaduni na Mila za kabila lako na mpaka sasa zimekusaidia nn ww kama mwafrika na je inaziishi? What I'm seeing here you are dissing and disrespecting people's tribes! Unazungumza as if unajua na kuelewa tomaduni...
Lazma vifaa vifike kwenye Uwanja wa maangamizi hiyo ndo njia pekee ya Urusi kupata au kuteka vifaru vizima. There much more to this war than just Ukraine
Pro NATO huwa mna mihemko sana, lichanya kutaabika matapishi yako, marekani hajawai na wala hana hypersonic missilès sasa wewe kajamba nani unaonaje ukatuwekea sources zako. No research no right to speak!.or else kalale bado asubui matongo tongo yanakusumbia
Sasa wewe unafananisha standi mpya ya a mabasi ya mwanza na stand gani ya Arusha. Arusha stand mpya itakuwa State Of Art Tanzania nzima kwasababu Arusha ni Tourism Capital of Tanzania haiwezekani kujenga standi Kama ya mikoa mingine kwanza fuatilia ujionee hakuna stand Kama iyo . Itajengwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.