usahili unafanyika kwa hawamu tofauti,kwasasa ni f4 na f6 ambao usaili wao unamalizika october 3,baada ya hapo mtaitwa wa vyuoni,nyie kwa vile mtakuwa wachache usaili wenu unaweza ukachukua siku 3 tu,ila october lazima watu waende ccp moshi.
Tusipende kuwalaumu tu polisi kwa kila jambo,inabidi tujiulize tukio lilivyotokea ndani ya hizo dakika polisi walipata taarifa? majambazi wenyewe sasa hivi wanatumia madawa,wanaenda sehemu kufanya tukio mpaka wanamaliza nyie ndo mnakuja kushtuka kama mmeibiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.