Habari wanaJF,
Nimekuja kwenu kuomba msaada kwa yoyote mwenye kuweza kunifahamisha zaidi jinsi nitakavyoweza kudownload CORELDRAWX3
Au nyingine yeyote yenye kufanya kazi sawa na hii
Asanteni
Napenda kufahamishwa program ambayo nitaweza kurisize picha na kuziandika jina namba na signature (usajili wa wanafunzi f 4) kwa mahitaji Yale ya Necta
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kufahamu wakuu jinsi ya kupata au kujuzwa mahali kilipo chuo cha bandari
Kwa kijana mwenye pass zinazofikia tank ( c na d) kwa kidato cha NNE
Fomu zao na hata ikiwezekana kupewa contacts za mawasiliano
Ni kweli usiofichika kipindi cha prof Muhongo umeme ulikuwa hausumbui kama siku hizi mpaka unawaza labda Bombadier ndio inachukua umeme kila mara umekatwa na kuwafanya wakubwa na watoto kuwa na shangwe mara uwakapo UOOOOOOOO!!!!
Mnisaidie wadau ndio tunakoterajia 2025 kufika? Ndoto tena za...
Kwa matukio yaliyofanywa na TFF Malinzi & Mwesigwa kuangalia upande wa asili (nyumbani) umeanza kuzaa matunda ya wazi sasa
Pointi tatu walizomnyima Simba kwa kupindisha ukweli hautawaacha salama msimu huu na uwezekano mkubwa wakarudi daraja la kwanza mcimu ujao.
Itakuwa funzo kwa wengine
Wanajamvi habari
Napenda kuwasilisha kero kubwa kwa watumishi wa halmashuri ya Kibaha Vijijini ambapo watumishi walio wengi wanafanya kazi kwa kujituma na pindi juhudi zinapoonekana wengi wa wakuu wa vitengo ambao wanahofu ya kuondolewa na watendaji wanaojituma basi hutengeneza maneno au...
Kwanza nikupongeze Kwa kazi nzuri uzifanyazo na uhakika IPO Sikh utaeleweka Kwa Yale utakayo yatekelezeke.
Naibu Waziri upange safari ya kikazi utembelee Halmashauri ya wilaya ya Kibaha Vijijini utajionea uozo wa kutizha katika sekta ya Afya, Elimu, Ardhi na, maji na nyinginezo.
Katika ziara...
Habari wana Jf
Kutokana na uchaguzi wa serikali za mitaa kuonyesha nini wananchi wameamua kuna mpango wa serikali ambao upo jikoni kuanza kuchakachua uchaguzi mkuu ujao kwa kuweka kiasi kikubwa cha pesa kwa kutumia maslahi ya wafanyakazi wa nchi hii mfano uliopangwa ni kwa serikali kuchelewesha...
Wanajamii napata wasiwasi kidogo na kutahadharisha watanzania kutunza kumbukumbu jinsi gani Waziri mkuu anavyolipotosha bunge alikuwa anafahamu yote yaliyokuwa yanatendeka na kuahidi kuwa watashunghulikiwa wale wote waliohusika na kufanya watanzania kuamini yatafanyika.
Miongoni mwao ni...
Ndugu habari zenu
Ningependa kufahamu wenzangu mnaofanya kazi katika serikali hii nje na mkoa wa Pwani je mmepata SALARY SLIP?
Maana toka Julai 2014 hatujapata salary slip na kuleta shaka kidogo huku wenzetu wakifanya jambo si zuri la kutafuta mtu ama jamaa hazina na kutoa pesa ili aweze...
Wanajf hbr
Napenda kujua frequencies za kuangalia bure channel za cctv news, france 24, voa,bbc ,swahili africa na ubc ktk startimes ukiwa mkoa wa pwani
Wakuu wa JF habari zenu.
Kuna jamaa mmoja alishawahi kuandika thread moja iliyohusu ELIMU katika wilaya Mafia. Mizigo hii inayosemwa hapa nchini kamwe haitawajibika mpaka Watanganyika wenyewe tuchukue maamuzi magumu ya kuwatoa hawa waliolewa madaraka. Matokeo ya mitihani kidato cha pili 2014...
Ndugu wana JF
Napenda kuweka mjadala hapa ili sisi watanzania tuweze kuchangia na hatimaye kuweza kufikia msimamo kwa miaka ijayo hasa katika kipindi kijacho cha uchaguzi mkuu.
Yapo mashirika ya umma kama vile TANESCO, TTCL na huduma za maji. Mengi ya mashirika haya yanafanya hujuma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.