Baada ya kupitia uzi unaomuongelea mtoto wa miaka mitatu mwenye uwezo wa kufanya hesabu na kuongea kiingereza' nimepitia comment za watu tofauti lakini nachelea kusema naungana na Faiza Foxy kwamba huyo mtoto anaendeshwa na nguvu ya ziada.
Nasema hayo nikiwa na mfano hai' kama mtakumbuka Sheikh...
Sijui kama hii habari tayari ishaletwa hapa jukwaani.
Ni kwamba binti mhitimu wa Chuo kikuu (sijafaham Chuo gani) mkazi wa Dar es Salaam amekutwa makaburi ya Kinondoni akichumbua kaburi ambalo inasemekana ulilazwa mwili wa mwanaume!
Alipobananishwa amefunguka kwamba baada ya kuhangaika kwa...
Basi lilikuwa linatokea Mbezi kuelekea Ubungo!! Ajali imesababishwa na harakati za dereva kutaka kumkwepa jamaa wa bodaboda. Sina picha ya ajali walio eneo la tukio wataleta picha!!
Kwanza nianze kwakuwapongeza kwa hizi huduma zenu' kwani licha yakwamba zimeturahishia shughuli nyingi sana lakini pia zimetoa ajira binafsi kwa watu wengi sana. Pongezi nyingi sana kwenu kwahilo ingawa gharama zenu bado ni juu sana.
Kwaleo tasimama kama Wakala na si mteja!! Kuna kitu...
Wakati viongozi wa Tanzania wakiendelea kujineemesha kwakujilimbikizia posho kila uchao' hali imekuwa tofauti Kwa Raisi wa kenya.
Raisi Uhuru Kenyata ametangaza kupunguza asilimia 20 ya mshahara wake na viongozi wa nyadhifa mbalimbali'' pia ameongeza kuwa wanaangalia uwezekano wakupunguza...
2012/2013
1.Nauli zimepanda bei
2.Gesi imepanda bei
3.Umeme umepanda (na mgao kama kawaida)
4. N.k
5.Ongeza vingine uvijuavyo vilivyopanda bei 2012/2013
Tanzania swala la kupanda kwa bei imekuwa kama mchezo hasa kipindi cha hawam ya nne na viongozi wapo ila wameziba maskio kwa...
2012/2013
1.Nauli zimepanda bei
2.Gesi imepanda bei
3.Umeme umepanda (na mgao kama kawaida)
4. N.k
5.Ongeza vingine uvijuavyo vilivyopanda bei 2012/2013
Tanzania swala la kupanda kwa bei imekuwa kama mchezo hasa kipindi cha hawam ya nne na viongozi wapo ila wameziba maskio kwa...
R.I.P 2013 & HAPPY BIRTHDAY 2014
Nikweli kwamba Mwaka unaisha ukiwa wenye kheri na mafanikio kwa wengi wetu" lakini kwa upande mwingine mwaka unaisha ukiwa wenye majonzi na simanzi nyingi kwa wengi wetu pia" yote kwa yote tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuiona siku yaleo...
Habarini wakuu!
Nimeenda kununua gesi mtungi wa kg 15 bei nimeambiwa tsh 61,000, wakati nilijiandaa na tsh 54,000.
Sasa wakuu hiyo ndo bei halali iliyotolewa na mamlaka husika au nimeibiwa?
Kama ni bei elekezi imeanza kutumika toka tarehe gani na mwezi upi?
Ilitolewa taarifa kwa umma...
Habarini wanakwetu!!
Nianze kwakusema kwamba ELIMU kwa tafsiri ya kawaida ni ukombozi katika nyanja mbalimbali' ikiwa kifikra, kisiasa, kijamii au kiuchumi. Elimu itakuwa na maana pale tu inapotumiwa kama chachu ya ukombozi!!
Lakini kwa sisi watanzania wengi elimu imekuwa kama fasheni'...
Habarini wanajamvi!!
Nianze kwakumpa pole ZZK kwayaliyotokea' ingawa pole yangu itakuwa yapongezi hasa nikijua kwamba hayo yaliyomkuta ni changamoto nA yanamkuza na kumkomaza kisiasa!!
Binafsi nimwanachama halali wa CHADEMA na niliamua kuwa mwanachama baada yakuona kwamba viongozi wa chadema...
Hizi sio tarehe za illumiti kutoa sadaka? Siku ya leo imeanza vibaya sana'' Ushauri kwawakristo muombe Mungu na kumkabizi siku ya leo kabla hamjaenda kwnye matembezi yenu na kwawaislam vivyo hivyo swalini swala kabla hamjafanya lolote. maana paka tukimaliza siku tutasikia mengi leo.
Habarini zaleo wadau wa hili jukwaa! Imenifurahisha sana lakin kwa upande mwimgine imeniumiza sana hasa pale nilipojiuliza kwanini hii haitokei hapa kwetu (Tanzania)? Asubuhi yaleo nimesikia habari BBC kwamba kampuni ya magari ya Nissan ya Japan imesaini mkataba wakujenga kiwanda chakutengeneza...
Habari zenu wabunge wa hili jukwaa!!
Kwamda mfupi niliokwepo chuo niliona yafuatayo;
1) Maisha ya wanachuo wengi niyakuigiza (hayana uhalisia)
2) Matarajio ya wanavyuo wengi ni makubwa kama sera ya elim ya sasa yaan (big results now). kitu ambocho ni tofauti na hali halisi ya huku mtaani...
Heshima zenu wakuu!!
Nawasilisha kwenu hii'' licha ya kwamba utandawazi(globalization) kuonekana ndo chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili'
Kwamtazamo wangu naona chanzo cha wanawake wengi kuwa wadanganyifu kwenye ndoa au kwenye upenzi chanzo ni kufikishwa kileleni! kwavipi? ndo...
Myface wee' jaman jaman Myface!! Ndo vile kichwa cha mtu hakiwezi kuwa angavu kama gras, laiti kama ingekuwa hivyo ningeumbuka mie leo' jaman jaman Myface' paka mapigo yamoyo yanakimbia!! Kwasababu sijawahi kukutana na maraika lakin wengu hutoa sifa lukuki kwamba maraika ni wazuri kama kwel...
Kwa mtazamo wangu' mwanamke wa kuoa kwanza awe na nidhamu, awe anajitambua, ajiamini na mcha Mungu! Shape, sura na rangi hizi mbwembwe tu' ukitaka kufa kabla ya wakati wako jaribu hii'' oa kwa kuzingatia shape, sura au rangi. kama kama hatutakuzika mapema kwa sababu ya presha' ikikukosa presha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.