Kuna kitu nimeona hii week kwa wenzetu wa Nigeria, aise wame mpasua sana mhindi wa Sportybet na hawabet football wao wanapiga tennis na basketball tuu.
Kwetu huku sioni sana watu wakichambua basketball na tennis tumejikita zaidi kwenye mpira
Mtu anayenunua code ndo mjinga, kwa kutumia akili ndogo tu kama huyo muuzaji anaamini code zake kwanini siweke pesa ndefu yeye ale awe tajiri?? Kwanini atake kuchukua kihela chako?? [emoji1787][emoji1787] ukijua hilo tu hutakaa utapeliwe na hawa wauza odds.
Kumekuwa na mlolongo wa Malori yamepaki njia ya ubungo kuanzia shekilango hadi njia ya Ubungo maziwa, malori haya yamepelekea kuziba njia moja na kulazimisha gari zitumie njia moja tu na kusababisha foleni.
Je siku hizi watu wanaamua tu kutumia barabara kama maegesho ya magari wakati...
Waliofata hii code imebaki mechi moja tu ya asubuhi kuna baadhi zimeahirishwa [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Hapa ncashout mapema tuu [emoji1][emoji1]
Ni kweli kwa upande mwingine kila mtu akirudu anataka kufidia muda ambao hakuwa online mchana. Mwisho wa siku kila mmoja anakuwa busy na simu tu hakuna maongezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.