Nashukuru Mungu mpaka jana 8billion kati ya 12 bilion ishaingia kwa Magufuli a.k.a serikalini kwahiyo bibi yangu kule Mliayoyo atapelekewa madawa ya kutosha kwa bei nafuu. Endeleeni kubishania makaratasi (memo) yeye Msukuma anaikimbiza shilingi hapa kazi tu.
Yaani ndio naona uwezo wa mungu ulivyo tuumba tofauti kweli kifikra yaani kuna watu hawaoni hata chembe Juhudi za kulikomboa hili taifa nakutafuta vitu vidogo vidogo nakuponda, nakumuombea kufeli Khaa tunakaazi kweli. Kwa kweli mimi binafsi kwa uthubutu aliouenyesha namuombea kwa mungu ampe...
Nimesona gazeti la leo Mwananchi taarifa kwa Umma Kuhusu vyeti vya Kughushi VETA na majina yao yametolewa.
Kwa kweli inasikitisha na ndio maana kazi zinakua adimu ndugu zetu hawapati kazi ukiangalia hapo ni VETA tu lundo wamefoji je Vyuo vingine duh inabidi serikali wachukulie hili ni janga...
mmh Kazi kweli kweli kha! alafu nimepeleleza sana CHADEMA akili zenu wote zimefanana hata kama wivu huo wivu wa kike. Haya Wana ACT tukutane kwenye Ufunguzi tarehe 29 ACT oyeeeeeeeee
Acheni kuzua zua mambo msiyoyajua kwanza hy Gwajima afatiliwe na Pinda kwa lipi? Hy Gwajima analaana ya kuchukua Mke wa Mtu, Pinda anamambo mengi ya kufanya, afatilii Mbwia Sembe wa nini!! kaiuza imeona haitoshi sasa anakula mwenyewe.
mmh Kazi kweli kweli kha! alafu nimepeleleza sana CHADEMA akili zenu wote zimefanana hata kama wivu huo wivu wa kike. Haya Wana ACT tukutane kwenye Ufunguzi tarehe 29 ACT oyeeeeeeeee
Nimeipenda hii habari Magesi asante kwa taarifa je atakuwa na Mkutano kuhutubia wana Kigoma Kaskazini? please tunaomba kadiri unavopata habari uweke uzi wa kutujuza.
Hilo halina ubishi kwani wao wanavyoomfukuza wanasema na huko usiinde, yeye atakuwa huru na yeye kama mwanasiasa atakuwa na chama kingine chochote atakachopendelea kwenda kuendeleza siasa. Kila la kheri Zitto
Alisema kwa upande wake, anachukulia suala hilo kama changamoto ambayo inazidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.