Search results

  1. K

    Jaji Makaramba atajwa kuandaa kesi ya Zitto.

    Wakili kufanya consultation kwa Jaji kabla ya kupeleka shauri mahakamani sio jambo jipya.Inawezekana kwa kutegemea ukaribu wa Jaji husika na wakili japo kimaadili ya sheria hairuhusiwi. Kwa mtazamo wa kesi hii ilivyona mvutano wa pande mbili CDM na CCM hili linawezekana kabisa.Ushabiki uwekwe...
  2. K

    Mbowe amekuwa ni Kiongozi Mwenye Busara sana mara arushiwapo Makombora.

    watu wakishafilisika kisiasa huwa wanadiscus personalities, udini na ukabila. Alichofanya Kabwe ni usaliti sasa apotelee mbali yeye na wafuasi wake. Chadema wataisikia kwenye bomba tu.
  3. K

    Mashahidi kesi ya ubunge Segerea wakiri makosa

    Ushahidi upande wa utetezi lazima ukamilike kabla hukumu haijatoka,wakuu tutulie tusubiri Prof Juma afanye vitu vyake.Huyu Jaji namwelewa alivyomakini hapa magamba hawachomoki hili jimbo ni la CDM tu.
  4. K

    Lema ukimwagwa usikate rufaa rudi kwenye uchaguzi

    Huyo Jaji atakayetoa hukumu kinyume na taratibu za kimahakama kwa kuzingatia ushahidi ajiandae kuhama Arusha la sivyo kichwa chake kitakuwa halali ya wana Arusha kama akimvua Ubunge mbunge wao kwa hizo njama zinazopangwa.Kwa jinsi ninavyoifahamu Arusha hakika patachimbika hiyo kesho baada ya hukumu.
  5. K

    Dkt. Mwakyembe: Nimekerwa sana na msimamo wa Jeshi la Polisi juu ya afya yangu

    Kwenye suala hili la Dr.Mwakyembe inaonyesha wazi mchezo mchafu umefanyika,hapa si polisi wala nani atakayeweza kuthibitisha kemikali zinazoathiri bone marrow yake ni za aina gani isipokuwa jopo lenyewe la Madaktari.Kwa jinsi taarifa zilivyo ni dhahiri jeshi la polisi limekuwa compromised kwa...
  6. K

    Sasa Lowassa hakamatiki: Waraka kwa Jakaya Kikwete!

    Kama kuna changamoto tutakayokumbana nayo kama Taifa mwaka 2015 ni kumpata Kiongozi muadilifu ambaye ataivusha Tanzania toka hapa ilipo.Kuna kutokuaminiana kwingi baina wa wananchi.Kama wananchi sisi kwa sisi hatuaminiani je itakuwa kwa kiongozi wa nchi kuaminiwa. Lazima tuwe na mfumo imara wa...
  7. K

    Dkt. Mwakyembe aandika waraka wa siri!

    Kwa kweli malipo ni hapa hapa Duniani na habari hizi zinavyozidi kutoka kila kukicha ndiko kinachozidi kumchanganya kupita maelezo. Huko kuzimika zimika ni kuweweseka kwamba habari zimevuja na hakuna namna ya kuzuia. Hapo waraka wa Dkt. Mwakyembe haujatoka hadharani ukitolewa hadharani mambo...
  8. K

    Rais amteua Bi Amina Said Mrisho kuwa Kamishna wa Sensa ya Mwaka 2012

    Wewe hujui lolote kuhusiana na MKURABITA nenda kwenye website yake upate taarifa ya nini walichokifanya.
  9. K

    Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 2)

    Part 3 itakuja na porojo zilezile hapa hakuna kitu ni tisha toto tuu.
  10. K

    Kikwete, huu mtandao ni hatari! Be careful, otherwise waweza kuwa historia (Part 2)

    Umesema vyema mkuu,Jeshini hakuna dharau kwa mkubwa ni heshima kwenda mbele hata kama umemzidi elimu.Haya mambo tuyachambue kwa umakini.Tuchuje pumba na kuziweka pembeni ili tubaki na ngano safi itakayotusaidia kusonga mbele. Lakini kusema ukweli kwa miaka ya hivi karibuni TISS imeonyesha...
  11. K

    Utetezi wangu wa wazi wa William Ngeleja - The use of Emergency Powers Act 1986

    Hata sasa hana suluhisho la tatizo linalotukabili kwa kuwa yeye ni part ya tatizo la umeme tulilonalo hivi sasa.
  12. K

    Utetezi wangu wa wazi wa William Ngeleja - The use of Emergency Powers Act 1986

    Kama SG ndio suluhisho la matatizo yetu ya umeme ambayo yamedumu kwa muda mrefu kwa nini sasa mradi huu hautekelezwi? ni kwa maslahi ya nani hautekelezwi?,tunapaswa kumfahamu ili tumuwajibishe.
  13. K

    Kashfa ya Jairo: Malipo ya zaidi Billioni 1 kusaidia Bajeti ipitishwe - Adai MP Beatrice Shelukindo

    Jairo awataje waliochukua mlungula ili nao waungane nae kwenye kuachia ngazi.
  14. K

    Kuzirai kwa baadhi ya wananchi wa Igunga kutokana na kujiuzulu kwa Rostam!!

    Alichosema Bashe ni sahihi kabisa CCM ijiandae kukabidhi chama mwaka 2015 kikiwa chama cha upinzani hakuna namna wanaweza kupona na sumu ya ufisadi ambayo imeingia mpaka kwenye mishipa ya Chama.
  15. K

    Katiba ya Tanzania: Rostam anauachaje ubunge?

    Wilcard you are right,as long as Rostam Aziz anaendelea kubaki na kadi yake ya CCM hajapoteza sifa ya kuwa Mbunge kama katiba inavyosema,ni mpaka pale chama chake kitakapoamua otherwise.Mimi naona huu ni mchezo wa kuigiza tusubiri tuone hii filme inavyoendelea.
  16. K

    Ridhiwani awapa siku 7 Dr. Slaa na Mtikila kukanusha utajiri wake

    Kama kweli hana fedha kama ilivyoelezwa na Dr. Slaa na Mch. Mtikila watakuwa hawajamtende haki huyu dogo mbona analalamika namna hii.Kama kweli Dr.Slaa ana data za ubilionea wa Rithiwani atwekee hapa jamvini ili tuweze kuthibitisha kauli hizo.
  17. K

    CHADEMA Kuitikisa Nyanda za Juu Kusini; Safari Kuanza kesho

    Hakuna ufisadi wala nini haya ni makubaliano halali ndani ya chama yakiwa na lengo la kukijenga chama.Makubaliano haya huwezi kuyalinganicha na ukwapuaji wa akounti ya EPA Benki kuu au Meremeta, Deep Green Finance,Richmond na Dowans.Chadema wanatumia vikao halali kuidhinisha fedha halali...
  18. K

    Mahita kwa BABU akipata dawa

    Serikali hapa lazima ifanye jambo la ziada sio kutoa majibu mepesi mepesi kwenye suala linalohusu maisha ya watu wengi kama hivi.Kwa kweli kwa babu kumefunga duuuuu!
Back
Top Bottom