Kwani we ulivyosema ninao ulitumia kithibitisho gani???
Humu Jf wengi ni matepeli na walaghai hakuna ushauri wa maana ,hao wanaojifanya wajuaji ni matapeli wote.
Wamenitafuta sana wanitapeli wakaangukia pua !!!
Hospitalini tunafuata ushauri tu,upime hospilini ama ujipime nyumbani kama unao upon tu na km huna huna tu.
Mimi nilipitia masaibu makubwa ndugu hd wakina Mzee RAZA humu wakagonga msumari wa mwisho kwamba tayari nimewaka na kunishauri kuwahi dozi mapema . vipimo vyote vya home na hospitali...
Habari za Leo.naomba kujua ni kwanini Tanesco wameniongezea gharama za unit za umeme ,awali nilikuwa nikinunua umeme wa sh5000 napata unit 24, lakini kwasasa nikinunua umeme wa sh 5000 napata unit 14.1 yaani being zimeongezeka Mara 2 kimyakimya .
Serikali ya viwanda na gharama hizi tutafika...
Pole sana AFANDE, nadhani unaweza ukawa na tatizo kwenye mfumo wa chakula au gastriosis, jaribu kufanya check up zaidi. Hata mimi nilikuwa na tatizo km hilo nikafanyiwa EGO, niliambiwa ninatatizo la EGD na hitus hernia, mpaka sasa niko kwenye dozi, nilipewa vidonge vya essomeprazole na anti...
1) Je, kipimo cha SD bioline na UniGold vinauwezo wa kuonesha maambukizi ya muda gani tangu virusi kuingia mwilini?
2) je ,mtu ambaye ni H. I. V negative anauwezo wa kumuambikiza mwenza wake??
3) Je, mtu anaweza kuonesha dalili za H I V kwa miezi 6,ila akifanyiwa vipimo anakuwa negative...
Namshukuru kwa Ushauri wenu wakuu,ila sio kwamba nina maambukizi isipokuwa kuna dalili zinazotisha kwa muda wa miezi miwili sasa. Nikizingatia kwamba kuna Mahali ilipita nahisi sio salama ingawa nilitumia kinga ila bahati mbaya kuna upele kalitumbuka na kutoa usaha, so km ni virus nahisi...
Wadau nisaidieni, Je mtu mwenye HIV positive anaweza kutimiza ndoto zake za kitaaluma na kuendelea na maisha??
Mfano kusoma degree ya miaka minne na kufanya kazi na kuendeleza maisha ,hata kuwa na familia??
Naombeni majibu, Ushauri na hata mifano km ipo!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.