Upo sahihi kwanza wameidanganya dunia kwa kuliita ziwa malawi badala ya ziwa nyasa na ukiangalia kwenye ramani mpaka wa nchi ya malawi umepita mwisho wa maji badala ya katikati yaani kwa kifupi ziwa lote wamefanya ni mali yao, nadhani viongozi wetu wameshindwa kutatua huu mgogoro
Mleta mada hiyo video ina walakini umemlisha maneno mzungu, pamoja na hayo hatuwezi kushindana na watu weupe walishatutawala na wanaendelea kututawala kwa kila kitu
Mimi nataka nizitoe huko faida ndogo haitoshi hata kununua hennesy xo ya 500,000
Niliweka 50m UTT BOND gawio nalopata kwa mwezi ni hili[emoji116]
Ndugu Mteja
Umepokea kiasi cha TZS 436,160.48 katika akaunti yako nambari: 015*******00
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 071*197700
Upo sahihi mkuu Agakhan hawapokei NHIF nikasema sirudii tena kukata hiyo bima
Hapana Agakhan hawapokei NHIF ninayo timiza nililipia 1m point something nilienda kwa ajili ya meno walinikatalia hawapokei nikaenda Hindu Mandal
Lini mliwapa chadema waongoze nchi?, bahati yenu wananchi ni malofa na wapumbavu, wangekuwa na akili wangejaribu kuchagua upinzani ili wapime utendaji kazi kwa miaka mitano au kumi
By now every one of us has seen it practically that the Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other. They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives and indulging in sex.
Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.