Nimeshangazwa na hili, jamaa yangu alijenga nyumba na kuishia kupiga paa. Baada ya hapo ameishi kama miaka nane bila kuifanyia finishing. Last year aliifanyia finishing na kuhamia. Toka amehamia anasema kwenye nyumba kuna mashetani, usiku kuna kelele dalini na wakipika chakula usiku wakiamka...
Habari wakubwa, kama mada inavyosema hapo juu!ninahitaji kununua television inayotumia umeme wa juu (solar TV) naomba mnisaidie kunishauri aina na siyo mbaya mkaniambia hata bei zake
Nime update laptop na kila nikiwasha inagoma inasema ime start vibaya itafanya auto restart na mchezo unaishia hapo...naomba msaada kwa wataalam
"corona ipo tuchukue tahadhari"
Hivi vitambulisho vya uraia ni kwa ajili ya kusajilia line za simu tu? Mbona msisitizo umekuwa kutumia vitambulisho hivyo kusajili line za simu tu?
Nielewesheni matumizi ya vitambulisho hivyo.
Sio kila kiuzwacho sokoni chafaa kununuliwa.
*Whatsapp 4G 4.0* is now released,You must install it Now to Enjoy latest features like *Top Whatsapp Group Links,* *Private msg without showing your number,* *Free wifi mode,* *who view your profile pic* etc,This is only for Invited user so I am inviting you to download now, Click here to...
Naomba mnieleweshe...hivi ni sababu ipi hupelekea wana ndoa...mke na mme kufungua account ya pamoja...
1. Kutokuaminiana katika matumizi ya fedha
2. Mahaba yaliyopitiliza... Au kuna sababu ipi nyingine?
Je ni jambo jema kufungua account ya pamoja?
Ilikuwa 90's nilizama chumbani kwa binti nipige mzigo,huyo binti tulikuwa tunasoma naye secondary. Basi bana zile wanazosema za mwizi arobaini ndo zilikuwa zimetimia. Kabla sijaanza kupiga mzigo nikawa nimepewa chakula nakula!mara paaa baba wa binti akapiga hodi anataka kuja kuchukua kitu kule...
Kwa siku zisizopungua tano Azam TV kupitia channel yake ya sinema zetu imekuwa ikionyesha filamu za legendary Steven Kanumba kama kumbukumbu kwake.binafsi nimefurahi namna walivyompa hiyo heshima!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasalimu kwa jina la bwana Yesu Kristo.
Kanisa linataka kununua wireless microphone kwa ajili ya matumizi ya kanisa. Ninaomba mnielekeze juu ya brand nzuri kwa bei isiyozidi 250000. Na ushauri mwingine juu ya vifaa hivyo.
Natanguliza shukrani
Mwanariadha aliyewahi kutikisa katika mbio fupi ameanza kuitumikia timu yake mpya ya mpira wa miguu. Timu hiyo ya CCM imekuwa na matokeo mazuri ilipokutana na CCS. Bolt aliingia kipindi cha pili wakati timu yake ikiongoza kwa goli 6. Hope Ali Kiba naye ataanza kuitumikia Coastal Union hivi...
Ni mbwa wa miezi minne sasa nimemfuga kwa ajili ya ulinzi wa nyumbani. Kinachonishangaza sijawahi kumsikia akibweka zaidi ya siku moja alikuwa anambwekea chura.
Kitu kingine yeye ni rafiki wa kila mtu; mgeni kwa mwenyeji. Nimemfungia weee lakini akipata upenyo wa kukutana na mtu yeyote basi...
Waliokula kiapo wapo kibao tu katika siku mbili tatu hizi lakini huyu mmoja amechukua nafasi kwenye media karibu zote!kwa nini iko hivyo nataka kujua tu!
Waungwana nauliza kama naweza kwenda na usafiri binafsi Dar to Mtwara. Napenda kusafiri usiku vipi usalama wake utakuwaje kwani kulikuwa na matukio ya kibiti ambayo sifahamu yaliishaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.