Search results

  1. taffu69

    Some notorious abductions which victims survived

    Factbox: Some notorious abductions which victims survived | Reuters
  2. taffu69

    Obama ala kiapo cha kuiongoza us kwa awamu ya pil

    Rais wa Marekani Barack Obama akila kiapo cha kuiongoza nchi hiyo kwa awamu ya pili Chanzo: http://www.jackandjillpolitics.com/blog/wp-content/uploads/2013/01/january-20th-swearing-in.jpg
  3. taffu69

    TANESCO na ujenzi holela kwenye njia kubwa ya kupeleka umeme kwenye Kituo cha Ubungo

    Kwa siku za hivi karibuni tumeshuhudia matukio ya maafa makubwa yakiwakumba wananchi ambao wamejenga na kuendesha shughuli zao za kujikimu kimaisha kwenye maeneo hatarishi kama kwenye mabonde na fukwe za bahari pasipo kuchukua tahadhari yoyote. Katika hili mamlaka husika zimekuwa kimya mpaka...
  4. taffu69

    Tcu na heslb wanawatakia nini watanzania.

    Nimekuwa nikifuatilia utaratibu unaotumiwa na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) katika kudahili wanafunzi wanaotaka kujiunga na vyuo vya elimu ya juu na pia utaratibu unaotumiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwa wanaoomba mikopo kwa ajili ya masomo kwa ngazi ya elimu ya juu ambao unatia shaka...
  5. taffu69

    Contestant 'raped' on Brazilian Big Brother

    A contestant on the Brazilian version of ‘Big Brother’ has allegedly been raped on live TV. Police in Brazil have confirmed that they have started an investigation and carried out a search of the studios in Rio de Janerio. Their actions come after footage appeared to show 31-year-old housemate...
  6. taffu69

    Tofauti ya neno 'barabara' na 'njia'

    Wakuu wana JF natatizwa sana na maneno mawili; 'BARABARA' na 'NJIA'. Naomba wataalam wa lugha ya Kiswahili wanifahamishe kama maneno hayo mawili yana maana sawa ama yanamaanisha vitu viwili tofauti.
  7. taffu69

    JK: Watu binafsi wachunguzwe na Sekretariati ya maadili ya umma

    Venance George, Kidatu RAIS Jakaya Kikwete ametaka marekebisho yanayofanywa katika Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma, yatumike pia kuwabana matajiri wasio watumishi wa umma ili kujua kama mali walizo nazo wamezipata kihalali au la. Akizungumza katika hafla fupi ya kufunga mafunzo ya...
  8. taffu69

    Notisi ya kuanzisha Mikoa na Wilaya

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA TAARIFA KWA UMMA NOTISI YA KUANZISHA MIKOA NA WILAYA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibara ya 2(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaweza kuigawa...
  9. taffu69

    Concern Raised As Jakaya Kikwete Plays Hosts Local ICC Suspect

    Source: allAfrica.com: Tanzania: Concern Raised As Jakaya Kikwete Plays Hosts Local ICC Suspect
  10. taffu69

    JK na ziara zake kwenye Wizara

    Kuna taarifa kuwa leo JK ameanza ziara kutembelea wizara zote. Kubwa nililoshuhudia ni msongamano wa magari kipindi cha mchana kwenye maeneo ya katikati ya jiji wakati alipokuwa anatoka Wizara ya Fedha kwenda Ofisi za Mamlaka ya Mapato na kilichotokea ni magari kushindwa kutembea kwa zaidi ya...
  11. taffu69

    Fataki na kinga dhidi ya maambukizi ya ukimwi.

    Kuna matangazo nayasikia mara kwa mara kwenye vyombo vya habari ambayo waandaaji wa matangazo hayo wanaamini ni njia mojawapo ya kupeleka ujumbe wa kuwakinga wanawake/wasichana na maambukizi ya ugonjwa wa ukimwi. Moja ya matangazo hayo ni lile ambalo msichana mmoja anajitambulisha kama cheupe...
  12. taffu69

    Maisha ya mtanzania

    Najaribu kufikiria jinsi bei ya bidhaa zinavyopanda kwa kasi ikilinganishwa na kipato halisi cha Mtanzania. Wakati wa siku za mwisho wa juma nilizunguka kwenye maduka ya mtaani kupata mahitaji ya nyumbani lakini nilishtushwa mno kwa bei nilizozikuta; mfano: 1. sukari shilingi...
  13. taffu69

    Mwalimu nyerere foundation house

    Katika pitapita yangu maeneo ya katikati ya mji nilishtuka nilipokuta uzio uliokuwa umewekwa kwa ajili ya kuwezesha ujenzi wa jengo la Mfuko wa Mwalimu Nyerere ukiwa umeondolewa na eneo hilo likiwa limebaki na vichaka pamoja na lundo la kifusi. Swali nililogubikwa nalo ni kama mradi huo...
  14. taffu69

    Elections 2010 Polisi wetu tanzania.

    Vijana wetu wa jeshi la polisi mnausikitisha sana umma wa Watanzania. Hivi ni kwa nini mnakubali kutumika ndivyo sivyo. Mnapoamrishwa kuwapiga mabomu raia ambao wamekaa kwa amani na utulivu kwa minajili ya kudai haki ama kuangalia hatima ya kile walichokifanya mnajisikiaje. Maisha ya polisi...
  15. taffu69

    Hospitali kupandishwa daraja

    Kwenye mikutano ya kampeni inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 31, kati ya ahadi nyingi anazotoa Kikwete ni kuzipandisha daraja hospitali kadhaa kwenye maeneo ambayo amekuwa akifanya mikutano yake ya kampeni. Ahadi hizo zinajumuisha kufanya baadhi ya hospitali za mikoa kuwa za rufaa na za...
  16. taffu69

    Wajibu wa viongozi wanaochaguliwa na wananchi

    Wakuu kuna jambo linanitatiza na huwa linagonga sana kichwa changu; Naomba kujua wajibu wa viongozi wanaochaguliwa na wananchi hususan wale wanaochaguliwa kwa njia ya kura (Rais, Wabunge, Madiwani) wanatakiwa kutekeleza na pindi wanaposhindwa ni njia gani zifaazo na za haraka zinatakiwa...
  17. taffu69

    Bia za TBL na afya ya wanywaji

    Katika siku za hivi karibuni nimeshuhudia vifuniko ambavyo vinatumika kufunika bia za TBL vikiwa na kutu kwa kiwango kikubwa. Bia ambazo nimekumbana nazo binafsi ni Kilimanjaro na Ndovu ambapo mara inapofunguliwa unakumbana na layer kubwa ya kutu kwenye mdomo wa chupa na kifuniko chenyewe na...
  18. taffu69

    Masaki flats bounce back

    Naamini lile sakata la kuvunjwa kwa majengo ya Empire Properties Ltd (Masaki) litakuwa na impact mbaya kwa Serikali siku za usoni. Niwakumbushe habari hizi:
Back
Top Bottom