Mzee yupo mapumzikoni baada ya kutoka kifungoni, sijui wamemfanyia kitu gani huko gerezani maana anaonekana ameathirika kisaikolojia kabisa, kazi hataki kufanya, mafile yamelala mezani tu.
Hata kama, lengo la kuomba kukaribishwa siyo ninyi mmkaribishe, ni sisi.
Ndo maana kuna mahali kasema mbona mmenuna? Sasa kuepusha hilo ni bora muondoke, nitakuja kukudokeza kama utambulisho umefana au la.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.