Mbona repeat semester ,discontinue,Sup and carry ni tishio.
Mambo hiyo ni too much sana katika hicho chuo,istoshe Rais wa chuo hicho hana neno kwa wale ambao hurudia semester hasa baada ya kuchelewa kulipa ada kwa wiki moja,watu wenyewe ni in service ,wanalipa penalties lakini ,wana repeat,wadau...
Wiiki mbili zilizopita baada ya wanafunzi wa chuo kikuu cha St. john's kugoma mnamo tarehe 19,Novemba,2014.Wanafunzi hao wameanza tena mgomo leo hii tarehe 4, Desemba,2014 baada ya Rais wa serikali ya wanafunzi, Bw. Daniel Damian na Waziri mkuu wa serikali yake kutangaza mgomo mpya baada ya kero...
Leo tarehe 19, Novemba 2014, wanafunzi wamegoma kuingia darasan kwa sababu zilizotajwa kuwa kikwazo kikubwa chuoni hapo kama: alama zake kuwa juu.
Wanafunzi kufelishwa maksud na kuombwa rushwa ya ngono kwa wasichana, upungufu wa viti, ubovu wa vyoo, ubadhirifu wa fedha za wanafunzi.
Walimu...
wala hamna cha kutafta kura ni ukweli kabisa,kwani tz tuko kamili kwa
infantly army,airforce na. Majini.na vita ya mtz ni ya chini ka marekan japo wamebase air force.minister hadanganyi
simu yangu ni 0783564059. Nasoma BAED,nimetokea BUKOBA,nina adabu na ninamheshimu kila m2.Nimejifunza combat karate,KARATE shotokan na GUJULU.Haya yote yanafanya niwe mpole na ukiniona utaamini na ISITOSHE MI NI MMOJA WA WAFUASI WA DINI YA MASHAIDI WA YEHOVA(watu wasio na ubaguzi wala chuki...
Nipo st. JOHN DODOMA nachukua BAED,cna chuki wala ubaguzi,nina upendo na uvumilivu mkubwa.KINACHOCHANGIA HAYA ni kujitambua na pia nimejifunza combat karate JKT pia kwenye chama cha karate tanzania nimejifunza SHOTOKAN na nina GRAND BELT yenye maandish ya kichina na nimeshiriki mapambano...
Hata cku moja,marehemu hapaswi kumcheka hayati,walau wa kwanza kidogo alikuwa ni hayati wa pili marehemu na hana hadhi ya kupigiwa salute hata akiwa hai japo wote wataoza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.