Huwa ninakereka sana na mwendo kasi.
Hiyo barabara Kama ile ya Marangu-Mwika hadi Mamsera.
Kuna siku tulikuwa na msiba huko.
Mimi nilikuwa naendesha moja ya gari zilizokuwa kwenye msafara wa msiba.
Barabara ile speed limit ni 30 kwa sehemu kubwa ila cha kushangaza Kuna dereva wa kosta ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.