Search results

  1. S

    Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo anashikiliwa na Polisi, anyimwa dhamana

    duh kwani hii kitu si waliregister usa kama ni bongo hakuna namna ataacha kutoa majina hasa kwa sheria ya mtandao ni ovyo mno
  2. S

    Arusha wafanyabiashara wa madini wamepigwa risasi

    Wameiba hela walizokuwa nazo kwenye gari waliopiga risasi walikuwa na toyo
  3. S

    Arusha wafanyabiashara wa madini wamepigwa risasi

    Walikuwa wawili. kwenye gari maeneo ya pangani wamewahishwa hospital ya. Mt meru
  4. S

    Mahojiano,mh.mwigulu nchemba awajibu chadema(pres ya leo-nassari)awashangaa cdm kwa uongo,sisitiza

    Hao waandishi hovyo sana aina gani ya maswali. Wananauliza walikuwa wanabembeleza hela kwani hakuna mwandishi anayeuliza maswali hivyo. Kama. Ni waandishi kweli tasnia. Ya. Habari imekufa
  5. S

    Ndege ya Marehemu Wakili Nyaga Mawalla yaanguka na kuharibika 'write-off'

    babu Sambeke hakuwa rubani wa Nyaga walikuwa wanamiliki ndege iliyoanguka last 2 yrs na kuua rubani ikikaribia kutua KIA walikuwa marafiki Nyaga hakuwa na uwezo wa kumwajiri babu ni bilionea mwingine na Nyaga amekufa akidaiwa na babu fedha kiasi kikubwa
  6. S

    Diwani wa CHADEMA aahidi kupambana na 'wanaomchafua' marehemu Nyaga Mawala

    Msando kanufaika na ufisadi wa Nyaga kuliko binadamu yeyote hata ndugu wa marehemu wanadai ndiyo aliyechanzo cha Nyaga kujitenga na family hivyo lazima amtetee
  7. S

    Mwandishi Francis Godwin atoweka Iringa kuhofia maisha yake

    godwin yuko njiani kuelekea Dar kwenye mkutano wa utpc hawezi kukimbia wakati yeye mwanaccm safi ambaye alikuwa akisubiri udc
  8. S

    Zitto: Sitagombea uongozi CHADEMA

    anarudia yaleyale ya 2007 alitangaza anaacha siasa anarudi kufundisha anaenda kufanya kazi somalia au southern sudan, hana lolote
  9. S

    Mbunge Selasini apata ajali mbaya! Akimbizwa hospitali, watatu wafa papo hapo akiwamo mamake

    Mungu amponye wakati wa kampeni alipata ajali mbaya sana akavunjika mkono wa kulia unamsumbua mpk sasa RIP mama joseph
  10. S

    CHAMI: Ekelege na Joyce wameniponza

    rudi jimboni sasa ukae na wapiga kura toka umekuwa mbunge ulikuwa biz na uwaziri , tena sasa nadhani atapata fursa ya kujenga makazi ya uhakika (nyumba) jimboni kwake
  11. S

    Nassari, Lema wadai kutishiwa kifo

    Siasa iachwe kwa wanasiasa ,
  12. S

    Maoni yangu dhidi ya "Baadhi ya wananchi wahuni" wa Arusha kujaribu kuzuia wanahabari wa TBC

    dotto weka sawa wewe ni mpiga picha wa jamilah waandishi wa habari wanajulikana
  13. S

    Matusi ya Lema na Matusi ya Lusinde ni Matusi Yetu na Unafiki Wetu!

    kwa hiyo kweli alimtukana Batilda ?
  14. S

    Sugu Awaka, Amwaga Cheche Bungeni!

    anadai kamati ya vazi la taifa ni makini , hawezi kufanya uteuzi kwa kuangalia nani haelewani na waziri kivuli , kusaga na wengine ni makini viongozi wajenge tabia ya kusamehe
  15. S

    Mazishi ya Mh. Regia Mtema huko Ifakara (updates)

    Regia umetutoka kimwili kiroho tuko pamoja , tangulia kamanda
  16. S

    Bomu la machozi bungeni. Fundisho Tanzania?

    ila jamaa wa chama tawala wanakomaa kama magamba wamelia na makamasi kwa wingi lakini wamepitisha bora wangetumia formular ya bunge la somalia ukijifanya hauelewi bakora zinatembea zikivunjika viti pia vinafaa kutoa adabu
  17. S

    Mukya anawafunika wabunge wa viti maalum kuijenga CHADEMA

    bora ungemweka dada yetu regia
  18. S

    Mukya anawafunika wabunge wa viti maalum kuijenga CHADEMA

    duh huwezi kukusanya mawe kwa chelewa ha ha ha ubunge ni kutumikia wananchi kwa kuwasemea kwenye vikao husika baada ya kuwasikiliza sasa huyo unayejaribu kumpamba kabla hajaoga harufu inakuumbua kama kakulipa hongera kwa kuingiza siku ila haujafuzu
Back
Top Bottom