Hao waandishi hovyo sana aina gani ya maswali. Wananauliza walikuwa wanabembeleza hela kwani hakuna mwandishi anayeuliza maswali hivyo. Kama. Ni waandishi kweli tasnia. Ya. Habari imekufa
babu Sambeke hakuwa rubani wa Nyaga walikuwa wanamiliki ndege iliyoanguka last 2 yrs na kuua rubani ikikaribia kutua KIA walikuwa marafiki Nyaga hakuwa na uwezo wa kumwajiri babu ni bilionea mwingine na Nyaga amekufa akidaiwa na babu fedha kiasi kikubwa
Msando kanufaika na ufisadi wa Nyaga kuliko binadamu yeyote hata ndugu wa marehemu wanadai ndiyo aliyechanzo cha Nyaga kujitenga na family hivyo lazima amtetee
rudi jimboni sasa ukae na wapiga kura toka umekuwa mbunge ulikuwa biz na uwaziri , tena sasa nadhani atapata fursa ya kujenga makazi ya uhakika (nyumba) jimboni kwake
anadai kamati ya vazi la taifa ni makini , hawezi kufanya uteuzi kwa kuangalia nani haelewani na waziri kivuli , kusaga na wengine ni makini viongozi wajenge tabia ya kusamehe
ila jamaa wa chama tawala wanakomaa kama magamba wamelia na makamasi kwa wingi lakini wamepitisha bora wangetumia formular ya bunge la somalia ukijifanya hauelewi bakora zinatembea zikivunjika viti pia vinafaa kutoa adabu
duh huwezi kukusanya mawe kwa chelewa ha ha ha ubunge ni kutumikia wananchi kwa kuwasemea kwenye vikao husika baada ya kuwasikiliza sasa huyo unayejaribu kumpamba kabla hajaoga harufu inakuumbua kama kakulipa hongera kwa kuingiza siku ila haujafuzu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.