Part Time Jobs-Simple Online jobs. Work From home. Bi-weekly Payments. We offer Genuine Extra Income from Home as Part Time jobs, Online Part Time Jobs, Online Data Entry Jobs, etc. Earn unlimited money from home. People who are interested in working from home can either work part-time or full...
TUNAOMBA KUBADILISHIWA TARIFF KUTOKA tarif 1 kwenda tarif 4.
Umeme uliunganishwa toka mwezi wa 8 mwaka huu tukapewa Unit 50 na tukazilipia. Mpaka leo bado tunaendelea kutumia but zinakaribia kuisha.
Bila shaka tutakuwa na vigezo vya kuwa tarif 4.
MKOA: Mbeya
WILAYA: Mbeya Jiji
SIMU: 0653...
Pole Sana kwa yanayokukuta, usikate tamaa.
Changamoto tunayokutana nayo wakati wa uchaguzi wa vyuo ni kutokuangalia idadi ya wanaohitajika, Applied so far, Available Slots, Muda wa kutuma maombi Na aina ya Kozi unayochagua.
Aidha wengine kutaka kuchaguliwa kwenye vyuo vyenye Majina au...
Duuh!
Mtu akiongea ni shida na akinyamaza ni shida
Sasa lipi litakuwa sawa kwakooo!?
Mwacheni Muheshimiwa apige kazi
#Hapa_Kazi_Tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ile kauli ya "Nyie fyatueni tuu...." Ilidaiwa kueleweka vibaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Moshi Luxury Coach ni Hovya kabsaaa! Kwanza ukiwa ndani ya gar Huoni nje. Vioo wameweka juuuu kama vile....
Mwanzo mpaka mwisho wa Safari huoni Barabara labda uangalizie kioo cha mbele au utoke nje ya bas.
WALINIKERA SANA
Pia hata wale wakuuza au kununua vitu madirishani hiyo fursa hakuna
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.