sawa mkuu kwa kuguswa kwako. pia kwa mtu amaeamini mtu flani anaeza saidia, anaweza mtag. maana hapa kuna foleni ya vijana wanataka kujua nini tatizo. tunashindwa tujisaidiaje ili kutatua tatizo hili.
Habarini za majukumu ya leo wana jamii forums.
Naomba kuwashirikisha moja ya changamoto iliyotokea kwa watu kadhaa katika zoezi la uombaji wa kazi ya ualimu kupitia tovuti iliyotolewa na TAMISEMI. Baada ya muda mrefu wa mtandao kuwa bize hatimae mfumo umefunguka vizuri.
Baadhi ya watu...
This thread is really interesting, especially for people who are interested in languages. I believe, the thread will be a lead for someone to gain courage and challenges in learning English language. Though it is not in formal way, but most of people learn effectively in environment where they...
mimi huwa naona ni busara kumpa mtu nafasi atumie halafu upate cha kuongea. sio kumjaj mtu bila kumuona performance yake. kwan ukimpa nafas utapata kitu cha kujifunza kuliko kubaki na ujuzi wa kukariri vitu vya mwaka 47 katika karne ya sayansi na teknolojia. sio vibaya ku update ujuzi.
kwangu mimi naona ni Marekani ni kila kitu. I mean zote zipo. kali, mbovu, safi, chafu na kadhalika. ukiachilia mbali series za watoto, kuna series hata mtu mkubwa anavutiwa na anaiangalia. yaan kunakuwa hakuna uongo wa kitoto. ni uongo wa uwezo wa kufikiri wa mtu mzima. japo kunakuwa na uchafu...
hivi ukali wa muvi ni wachezaji pekee au na director anachangia? hiyo muvi imedirectiwa na Mel Gibson. nilijaribu kufuatilia muvi zake zingine chache, kiukweli nilivutiwa sana na huyu jamaa.
mzaramo hadithi nzuri sana. kama kawaida G. Mosenya huwa hafanyi makosa tangu nianze kufuatilia riwaya zake...
kwa wapenzi wa hii riwaya..... mi nahisi inspekta atakufa halafu IGP atabeba majukumu yake kuhakikisha mambo yanakuwa katika haki. au zubeda na nguzu watamsaidia kwa kuwatandika risasi...
duh we jamaa utakuwa una lako jambo. hufuatilii haata previous comments. anyway, lets say hukuona. shame on you na wewe kama vizuri... kwa kufanya pre judgements kabla hujafafanya research..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.