Mnamshangaa Raisi? Kwani PM Mizengo Pinda alikwenda Same? Anaendelea tu na Ziara yake huko Lindi na Mtwara wakati wananchi Same wamefariki.
This is not human at all!
Nina rafiki yangu wa karibu ambaye ni Mchaga, yeye alini caution kabisa kwamba dada zetu wa kichaga huwawezi wana matatizo. Hao tunawaweza sisi wachaga wenyewe! Akaongeza kuwa hata mimi ingawa ni Mchaga sifikirii kuoa Mchaga. Kweli Bwana at the end of the day hakuoa Mchaga. Alikuja kuoa binti...
Here is a round-up of world reaction to the award as reported by news agencies.
ALI AKABR JAVANFEKR, AIDE TO IRANIAN PRESIDENT MAHMOUD AHMADINEJAD
We hope that this gives him the incentive to walk in the path of bringing justice to the world order.
We are not upset and we hope that by...
Muda mfupi uliopita Babu (Sir Alex Ferguson) alikuwa anashangilia kabisa kutokuwepo kwa Ade hata kama hakumtuma kumkanyaga RVP.
Manchester City will be without their "best player" in Emmanuel Adebayor for Sunday's Manchester derby. "I am not bothered whether Tevez plays or not," said United...
....Mambo ya fweza!
Kweli mambo ya fweza, He married Juanita Vanoy in September 1989, and Jordan and Juanita filed for divorce on January 4, 2002, citing irreconcilable differences, but reconciled shortly thereafter. They again filed for divorce and were granted a final decree of dissolution...
Na bado anasubiri Adhabu nyingine kwa kushangilia gori kwa kuwazomea washabiki wa ArsenaL!
Adebayor also faces an improper conduct charge for his goal celebration in front of the Arsenal supporters.
A separate date will be arranged for a commission to consider that charge, with City have...
Wed Sep 16, 7:05 PM ET
On Wednesday, Sept. 16, 2009 photo, Sultan Kosen from Turkey stands in front of Tower Bridge in London. A towering Turk was officially crowned the world's tallest man Thursday, Sept. 17, 2009 after his Ukrainian rival dropped out of the running by refusing to be...
Ilikuwa asubuhi ya saa ngapi? What I understand ile njia ya Ikulu along the ocean to Ferry imefungwa kwa matumizi kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 12 asubuhi.
CHUO kikuu Huria Tanzania kimebadili mfumo wa utoaji majaribio kutoka mara tano kwa mwaka hadi mara mbili, ili kuongeza ufanisi na ubora wa kukuza uwezo wa wanafunzi katika kufaulu mitihani.
Hata hivyo, alifafanua kwamba bajeti ya fedha iliyotolewa na serikali mwaka huu ni ndogo haiwezi...
Former England manager Sir Bobby Robson has died at the age of 76, following a long battle with cancer.
Robson will be best remembered on the international stage for leading England to the 1990 World Cup semi-final. At club level, he cut his managerial teeth at Fulham before establishing his...
Oloronyo,
Haya mambo mbona ya kawaida. Kuacha kazi na ku switch sehemu nyingine ni jambo la kawaida especially zama hizi za utandawazi na kwa mtu ambaye ni Professional na ameenda shule, competent na anayejiamini... Unless kama wewe (Oloronyo) ni mojawapo wa vihiyo ndo unaweza kubabaika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.