Yoga Pranayama Cures 140 Diseases - Swami Ramdev Ji on Indian TV Channels
Creating a "Disease Free Society - Medicines Free World"
Swami Ram Dev Ji has been daily declaring on Indian TV Channels, since the
year 2002 that Patients of so called incurable diseases like Diabetes,
AIDS, Cancer...
Yaani umegonga kwenyewe. Siku hizi wanaiga kubeba back pack kama wajeda na kuna magari yao wameanza kuyakoleza rangi ya kaki iliyoiva ili yaonekane yanafanana na magari ya wajeda hahaha.
Jifunze kuelewa maana ya jeshi. Wanajeshi wana sheria zao, wanaweza kumkamata mtu yeyote na kumfungulia mashtaka na kumhukumu bila kufikishwa unakojua wewe. Jeshi ni serikali kamili na ukivunja kanuni zao ukiwa kwenye maeneo yao ya kazi huna pa kwenda kulalamika kwa sababu wanaweza kukukamata...
Sasa kuna mabinti wazuri kweli, wapo natural, sijui wakiamua kujivika hayo makitu sijui kama kutakalika. Hebu mlinganishe Jokate Mwegelo na Wema sepetu utaona tofauti. Jokate hata akiamka asubuhi na kuoga kisha kupaka mafuta ya nazi bado uzuri wake utabaki vile vile.
Ni kweli. Kamwe usidanganyike kwa kuiona picha tu. Unajua mtu hadi anakubaliana na halmashauri ya kichwa chake ku-post picha fulani anakuwa ameshachagua picha moja miongoni mwa elfu moja ile inayoonekana kumtoa vizuri hapo bado hajaongezea na editing ya camera 360.
Sijui unatumia logic gani kufananisha nyumba na binadamu. Nyumba kabla ya ujenzi inakuwa tayari imechorwa picha jinsi itakavyotakiwa kuwa, kwahiyo tv, umeme, jiko, vikombe ni sehemu ya ukamilifu wa nyumba ile, mbunifu wake alishavipigia hesabu kwamba vitakuwepo hata kama ujenzi wa nyumba...
Hayo yote uliyoyataja ni sehemu ya ukamilifu wa nyuma tofauti na binadamu ambaye tangu anazaliwa tayari anakuwa na ukamilifu wake.
Unatakiwa ujifunze kutofautisha kati ya uzuri na urembo. Wengi wanaotafuta wanawake wazuri wanajikuta wanaangukia kwa wanawake warembo ambao kimsingi urembo wao...
Hichi kinachoitwa urembo/lujiremba kwa tafsiri nyepesi ni uongo au udanganyifu. Hakuna kitu kinachoweza kuwa kizuri kwa kukifanyia ukarabati nje ya chenyewe.
Kitendo cha mtu kupeleka nguo yake kwa fundi inatafsirika kama dalili ya nguo hiyo kupoteza uzuri wake wa mwanzo. Kwahiyo hata wale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.