Nashindwa kuelewa why he would even entertain questions about the 2015 Presidential race, at a time when the CCM government is struggling to shore up the economy and deliver on its numerous promises. Nilidhani kama Katibu Mkuu angeelekeza nguvu katika jitihada za kuwaleta pamoja wana-CCM kabla...
Too many problems, too little time! Tunachoona hapa ni watendaji wa serikali wakichukua hatua ambazo zinatokana na msukumo wa kisiasa, ndani na nje ya chama tawala. Hatua hizi hazina tija kwa taifa wala hazileti manufaa kwa wananchi, mpango mazima ni kukwepa hoja nzito bungeni na kupitishwa...
Pat on the back is well deserved, but lest we forget that the biggest room in the world is room for improvement. Let's collaborate to make JF better and even more relevant for all.
Another balant mistake ni kwamba migodi yote ya Barrick ilitenfanishwa under the new company name of African Barrick Gold (ABG) since Feb 2010. Na baadaye email za watumishi wote zilibadilishwa to xxxxx@africanbarrickgold.com
I repeat this is utter rubbish, moderator when will this forum...
This is utter rubbish! How come the paper is crumpled but the typeface is not distorted? Yani siamini kwanza moderator anaruhusu this forum to be used to launch such filthy personal attacks. Kweli Kama ali yodels Mkapa, Watanzania tumekuwa wavivu kufikiri
Hapa naona baadhi ya watu wanaongea pumba tupu, bila hata kujali. Hizo bei pamoja na mrahaba uliwekwa na serikali yetu. Wachimbaji hawana uwezo wa kututungia sheria na bungeni. Tunapofanya makosa tuwe tayari kutakubali na kurekebisha.<br /><br />
<br /><br />
Hamna mkataba wenye...
Do you guys think Zitto is honest with his current fuss attitude on posho? I am not sorry to say that he is nothing but just a wity politician who understands the game of grabbing...........................
Cheif umeme unaotumika Buly ni extention ya national grid iliyogharamiwa na Barrick 100%. Hamna mgodi wenye exemption ya bili ya umeme, as a matter of fact Barrick is TANESCO's biggest client.
Swali la kuuliza ni hili; kama hawa mabwana wametumia zaidi ya dola milioni 100 kati ya 2006-10...
Jamani tunapoiwaza Tanzania ya kesho naomba tuwe na mawazo kiulimwengu. Enzi za kujifungia mpaka upate uwezo ulishapitwa na wakati. We have wasted a lot of time waiting to be ready, we are ready and we need to get moving right now.
The world economy is in the midst of a transformative change...
The Don,
Please check your facts and your sources, kwa sababu hii story haina ukweli wowote. Its factually wrong and the only intention is to tarnish the image of Barrick and of the MP. This story is ludicrous and even the 'facts' contained in it prove it to be fictitious. Why! Because:
I...
In a situation like ours, we should be looking at the civil society to intervene and through advocacy they could provide the platform to mobilize the people in the interest of the country and speak for those with no voice or political affiliation.
Unfortunately, our civil society has also...
In a democracy, political parties are supposed to be the instrument to finding solutions to political crises and other problems of the country. In the case of Tanzania, the political parties are the source of all problems, from which we cannot expect any solution. The way the CCM and CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.