Familia hapa inahusikaje? Sasa kilaza ni ww unayekataa hoja bila kutoa ushahd na kuishia kutukana,, wasomi wanabisha kwa hoja, hujielewi ww nna wasiwasi na akili yako
Vyuo ni UDSM na SUA tuu,, quality education, hata vilaza wanajua ndo maana wanatumia nguvu kuviponda, vyuo vinavyotambulika duniani na viko top ten Africa.. Hata uumie kiasi gani huwezi kuvishushia thamani,, ulifeli ndo maana hukufika huko,, jitahdi watoto wako waje kusoma huko
8% ya take home yako, ukienda pale mwenge kwenye ofc zao watakuelekeza, wanakataa boom, stationery, fees nk hela yao yoote waliyokupa, na ukichelewa wanaangalia muda ulio maliza chuo na thamani ya fedha kwasasa
Utaratibu wenu mbovu, yaani kila mtu akaoshe chombo chake kwenye sink ndo nn? Vyombo vinakusanywa vinaoshwa pamoja kwa usafi, hyo familia yako inawanawake watatu ukimtoa mama yako, sasa kwann mnashindwa kuorganise mambo madogo kama haya?
Mimi mwenyenyumba napoishi,, chochote mtakachoongea usiku ukiamka asubuh anakijua, atawaambia majirani au atamuuliza ndugu yangu nnae ishi nae, kwahyo sikuhz hatuongeagi tena mambo ya maana kwenye hii nyumba, kuna ukweli flani kwa mtoa uzi, wenyenyumba asilimia kubwa ni walozi, ukiwa mchawi au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.