Nahitaji mtu wa kunyoa saloon ya kiume. Ipo Chanika, Dar es salaam.
Mshahara makubaliano; malazi yapo.
Akiwa anajua computer ni vizuri zaidi kwani huwa naingiza nyimbo kwenye simu.
Mawasiliano: 0714306015 au 0759601820
Habar. Wanajf natafuta hii mashine ya kuvunia mpunga kwa mwezi ujao. Mwenye nayo au Kwa anayewafahamu wanaozikodisha please tuwasiliane 0714306015 au anpm
Nipo Dar printer ya kusafishia picha aina ya canon pamoja na betri lake la kuichajia vinauzwa kwa shilingi laki moja na kumi (110,000/)
tuwasiliane kupitia 0714306015
Habari! naomba anayetumia machine hii canon ir 2020 nahitaji CD yake ili nifanye installations ili niweza kuprint kwa kutumia copier. Mwenye nayo tuwasiliane 0714306015 Mimi nipo Dar.
Habari! Tukiwa tunelekea msimu wa kupanda miti. Nina Shamba nauza
-lina ukubwa wa Ekari 150.
-Lipo kijiji cha UCHINDILE mkoani IRINGA.
-Kuna Barabara inafika hadi shambani.
-Linafaa kwa miti aina ya pines au milingoti na Ufugaji.
-Vitalu ya miche vinapatikana karibu na shamba.
-Limepimwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.