Hapana, sijachanganya madawa, najua ninachoongea. Siku hizi inabidi lazima ujiongeze. Kama wewe ni fundi mzoefu na unajua unachokifanya na umekuwa ukijenga kuanzia msingi mpaka mtu anahamia utashindwaje kutoa tathimini ya nyumba. Kama wewe mjenzi unapewa ramani, unashindwa hata kutoa copy ramani...
Sijui kwa nini nimesoma huu Uzi, nasoma nalia dah!
Apumzike kwa amani mama.
Pole mkuu.
Binafsi sina baba maisha yangu ya ukubwani sikuwahi kuita jina baba.inauma lakini, Mungu ni mwema ana sababu.
Kwani Maaskofu na viongozi wengine ni kina nani mbele ya Mungu? Aliyebora mbele ya Mungu ni Mcha Mungu tu na sio cheo chake. Wanatakiwa na wao wawajibike kama waumini wengine ili wajitengenezea ufalme wa Mbinguni, hili suala la kuitana watakatifu hapa duniani linawafanya wajisahau sana. Magufuli...
Kila kitu kinawezekana ila mimi pesa yangu imekataliwa. Kwa bahati nzuri DSO wa Wilaya ninayoombea silaha ni mtu wangu wa karibu na ameshindwa kunisaidia, amesema openly kuwa hana uwezo nisubiri tu kwakuwa Mkuu wa Wilaya ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ndiye pekee...
katika mchanganuo huo kuna silaha mbili, pistol hapo ni 2.5m, hii ni ile ghari sana, kuna zingine ziko chini ya hapo inategemea aina gani unahitaji na uwezo wake kwahiyo unamudu tu kutokana na mfuko wako.
It is okay, ni kuwa mpole tu, ila chunga asije mtu akakwambia utoe pesa ili akuharakishie, hakuna kitu kama hicho, kwa kuwa utaratibu uko very systmatic hakuna mtu mmoja anayeweza kufanya maamuzi. siku hizi wapo strict kwakuwa silaha nyingi zinaishia mikononi mwa maharamia hivyo wako makini...
Badilisha life style yako. Mazoezi, piga jogging sana, jogging inakata uzito, piga mazoezi ya kukata tumbo kila siku. Badili mlo wako. Mimi nikaamka nakunywa maji ya moto, then ninapiga jogging 8 kms everyday in the morning, baadae nakula matunda na glass moja ya maziwa.
Mchana nakula lunch ya...
Kaka utaratibu ni kununua kwanza then unaomba kibali cha kumiliki silaha. Mimi nipo kwenye hatua hizo lakini ni ngumu sana siku hizi na kuna urasimu sana. Nimenunua silaha toka July pale Tanganyika Rifle, nikajaziwa fomu pale nikaenda kwa kamati ya ulinzi na usalama ngazi ya mtaa na kata...
Okay so she is there just to make you happy with no future with you. If she could have been your daughter, would you have been happy for her to be used and then dumped the way you do to that particular young lady?
Hapo wa kufanya maamuzi ni mwanamke si mwanaume tena. Mwanaume ameshasema wewe ni wa muda tu, sasa mwanamke anasubiri nini tena? Mwanamke mwenye msimamo siku hiyohiyo angeshasepa!!!!!1
Tatizo hatuwi wazi toka siku ya kwanza. Kama kweli wewe ni mkweli toka siku ya kwanza mwambie kuwa mimi nahitaji urafiki wa muda tu, sasa usisubiri yeye kuwekeza kwako kimapenzi then unamwambia wewe ni wa muda, hawezi kukuelewa maana wenzetu hawa wakipenda huwa wanapenda kweli labda vijana wa...
Someni hii:-
10 Reasons to Avoid GMOs
1. GMOs are unhealthy.
The American Academy of Environmental Medicine (AAEM) urges doctors to prescribe non-GMO diets for all patients. They cite animal studies showing organ damage, gastrointestinal and immune system disorders, accelerated aging...
Nipo kwenye mchakato wa kutaka kujenga apartment za nzuri na bora lakini kwa bei nafuu. Ziwe stadard zinazoweza kukaliwa na watu wenye kipato cha kati. Nataka kujua round figure ya gharama zake kwa apartment za vyumba viwili na vilevile vitatu. Vyumba viwili kuwe na master moja, living room...
Wanawake ni watu hatari sana ukiwafanyia makosa makubwa otherwise wengi wao ni watu wema sana. Akiwa na pesa ukiwa huna tokea mwanzo na akakupenda utafaidi maisha kama utatulia lakini ukianza kuhonga wanawake wengine kwakutumia pesa yake lazima atakumaliza, hata wewe ungefanya hivyohivyo. Lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.