Mwanamuziki King Giovann aliyewahi kupitia bendi kadhaa kama FM academia na Chuchu sound amefariki dunia. King alikuwa mahili katika ucharazaji wa gitaa la solo amefariki ghafra muda mfupi uliopita.
Kwa mujibu wa King Dodoo,King amefariki baada ya kuugua pressure muda mfupi kabla ya kifo chake...
Katika hali ya kustajabisha na kushangaza aliyekuwa Mkurugenzi wa kiwanja cha ndege JNIA Ndugu Paul Rwegasha amerudishwa tena kwenye nafasi hiyo.
Huyu aliondolewa kwenye nafasi hiyo kutokana na kukabiliwa na shutuma mbalimbali zikiwemo.
1. Kusababisha kiwanja kushushwa Category kutokana na...
Wakuu leo ndege ya shirika la ndege la emirates Airlines itachelewa kutua Dar leo,inasemakana sababu kubwa ni ukungu
katika kiwanja cha ndege cha Dubai,abiria wapatao mia tatu na zaidi wapo tangu mchana kusubili safari yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.