Kama unajua chuo chochote knachofundisha kozi tajwa hapo juu kwa ngazi ya cheti na diploma naomba unifahamishe kwa kuandika jina na mawasiliano kama yapo nasubiri msaada wenu wapendwa
Daaah wadau last week nlpoct kugundua gal nliempita alikua na v.v.u nikajitia ujasir nikaenda chek afya npo mzima kuanzia xaxa mtandao wa ngono basi tena sitaki kbxaaaa nawashaur mkapime wadau ambao amjajua afya zenu
Wadau ushauri wenu nauhitaji nini nifanye baada ya kula kujamiiana na msichana ambae nimegundua ana V.V.U japokuwa nilitumia mpira sina imani. nlpga miez 6 iliyopita na nmerudia last week wkt huo nilikua cjui nmejua jana
Jaman kwa yeyote anayejua chuo kinachofundisha udereva wa construction machine like caterpillar naomba anielekeze then sio mbaya kama ataniambia,ada,muda wa mafunzo,na mawasiliano ya chuo hicho.nitashukuru
Wakuu nahtaji msaada wenu kwa anayekfahamu chuo cha kaole anipe ful information kuanzia kjiunga,fee na v2 vngne.ka utaona usumbufu kuandika jst hta unibp kwa 0763962571/0687600940 ntakpgia
Mm ni mhitmu wa kidato cha nne mwaka 2012 nkapata iv ya 30 baada ya marekebsho ikaja vlevle nna "D" za hstr,eng,kisw,geog na bios.Naomba ushaur nifanyeje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.