Kwanza kabisa niseme sina tatizo na uongozi wa ITV juu ya kuona haja ya kupata maono ya watanzania juu ya uongozi wa Mh. Rais Magufuli kwa siku mia moja kwa kuandaa kipindi maalam juu yake (labda kwa watazamaji wa tamthilia ya Stray cat wamekwazika maana umekula mda wao). Nina tatizo ya kujua...
Wakuu naomba msaada jinsi ya kuiwezesha kimchina changu Android Samsung touch screen, ili niweze kuaccess huduma ya Internet. Natumia mtandao wa Airtel na Tigo.
Wakuu salam. Natumia simu aina ya Nokia N70. Na ndio imekuwa rafiki yangu mkuu katika swala la internate hasa napokuwa mbali na computer. Tatizo la simu hii haina huduma ya YOUTUBE, Je nawezaje kuinstall programme hiyo? Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.