Search results

  1. kajirita

    Mikoa ya kusini inahitaji kupewa kipaumbele kwenye maendeleo

    Maendeleo yanaanza na wewe mwenyewe!Ukiletewa hayatadumu kwakuwa hutakuwa na uchungu ya KUYAPOTEZA! Ila kwanza waache UMWINYI....!!!
  2. kajirita

    Maxence Melo ashtakiwa kwa makosa 3, likiwemo la Kumiliki Tovuti ambayo haijasajiliwa Tanzania

    #JusticeForLema #BringBackBenSaanane #FreeMaxenceMelo
  3. kajirita

    Kibonzo: Hali ya Profesa Lipumba ofisini Buguruni inatia "huruma"

    Amenikumbusha Le Proffeseri wa Ze Comedy ya akina Joti na Masanja!!!
  4. kajirita

    Wake zetu mbona hamjishughulishi tuwapo faragha kama enzi za uchumba?

    Mpaka wengine tumeamua kusilimu 'kiaina' ili tuoe wake wanne!!!Wanawake wa sasa ni MAJANGA!
  5. kajirita

    Uchambuzi wa habari: CUF sio tu imefanya kosa, imefanya kosa kubwa kisiasa

    Mkuu, Hili neno '..kwa profesa huyu huyu...' linaonesha wazi kwamba huamini kwamba profesa Lipumba mtaalamu wa uchumi anaweza kufukuzwa unachama. Lakini unasahau 'Profesa huyu huyu..' ambaye ni mtaalamu wa uchumi,aliwasaliti wenzie baada ya kupewa 'rupia' kwa kujiuzulu uenyekiti ili kukipa CCM...
  6. kajirita

    Natafuta rafiki/mpenzi ambae baadae atakuja kuwa mume

    Eneo pekee rahisi ya kupata mume ni eneo unalofanyia kazi tu!Huku kwingine UTAUNGUA!
  7. kajirita

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Nataka kuwa Rais wa Marekani.Unaweza kunisaidia?
  8. kajirita

    Prof. Lipumba ataka suluhu na Maalim Seif

    Lipumba anawatia aibu wasomi!Sasa huyu ndiye anayesema anaweza kusaidia nchi kutoka kwenye umaskini wakati yeye mwenyewe ana NJAA!! Huyu sio hata mtu wa kumwongelea!
  9. kajirita

    Je, Wivu ni dalili ya mapenzi ya dhati?

    Kupenda kuanaanzia mtu akiwa na WIVU.Unapo-advance ndio inafuata Ndoa.Fikira ya ndoa inakuja unapotaka yule unayempenda asiwe na mtu mwingine ila wewe tu. Kwa hiyo simply... MAPENZI ni WIVU Huyo anayemuacha mkewe anamegwa na mwingine wala hana mapenzi naye.Ana mapenzi ya BAR!Ambayo ukimuona...
  10. kajirita

    Hii ndiyo ndege yenye ubora zaidi na starehe za kutosha kuliko yoyote duniani

    Mambo yote Pangaboi za Magufuli! Hujaanza na moja unataka kuwa na KUMI? Hata MBUYU ulianza kama MCHICHA!!
  11. kajirita

    UDIKTETA: Hongera Sana TWAWEZA, TZ hakuna Udikteta! Ila, ukiwauliza wajinga, unategemea nini?

    Mkuu, Kwa hiyo unazungumzia Udikteta ,Ujinga ,maradhi au UMASKINI?Relax!!!!
  12. kajirita

    Crazy Fans of Wema, Kiba and Jokate to vote for Davido

    Mimi nadhani tatizo ni WIVU!Watanzania wengi tuna wivu sana na maendeleo ya watu.Hatupendi kuona watu wanafanikiwa!Ndio maana ukiona mtu kafanikiwa utasikia mara ni freemason,mara ameroga!Hata watu ambao wanafanya kazi kwa juhudi na maarifa tunawakatisha tamaa ili wasifanikiwe na wasipofanikiwa...
  13. kajirita

    Nini kimemkuta Ommy Dimpoz?

    Mkuu, Tatizo la Ommy Dimpoz tangu wamwambie "jogoo hawiki" anatumia nguvu kubwa kuwaonyesha watu jogoo wake anawika kuliko kutumia nguvu kwenye muziki wake.Hata ukiangalia kwenye akaunti yake ya instagram ,muda mwingi anautumia kuonyesha video za jinsi alivyo na "muhogo" mkubwa badala ya...
  14. kajirita

    Compare between Dar Lux na ndege za panga boi

    Mkuu, Nadhani tofauti kubwa ni kwamba wakati Dar Lux inachukua masaa zaidi ya 15 kutoka Dar es salaam mpaka Mbeya,Pangaboi inachukua masaa mawili tu. 'Kama huwezi kulipia 200 ya kivuko basi PIGA MBIZI'
  15. kajirita

    Kero za waomba lift wakati mwingine zinataka moyo wa uvumlivu

    Hivi kuna watu bado wanatoaga lift kwa watu wasiowajua!!!?Lift unapaswa utoe kwa ndugu unaowajua na majirani wasio na shaka.Hapa mjini kila siku wadada wanaibiwa na wengine wanabakwa kwenye magari (hasa tinted) kwa kuwapa lift watu wasiowajua.Matukio mengi hayaripotiwi kwa kuwa wengi wanaona...
  16. kajirita

    Sifa, shobo na usharobaro vyamtokea puani mwanafunzi wa UCC Mbezi beach mbele ya wajeda leo

    Ukiona mtu analalamika au akipigwa picha akiwa kazini anapandwa na jazba au anafikiri anazihakiwa basi ujue mtu huyo either HAIPENDI KAZI YAKE au HAJIAMINI au ANAPENDA SIFA au ana INFERIORITY COMPLEX!! Mbona wanajeshi wa nchi kubwa kama US hawana mambo hayo ya kishamba!? Kama wana ubavu...
  17. kajirita

    Kutoka ukumbi wa BoT Mwanza: Wassira atangaza nia kugombea Urais

    Rais anatoka UKAWA! Hawa wengine MAJIZI tu! Kwenye msafara wa Mamba hata Kenge pia wapo!!!
  18. kajirita

    I am in love with my brother

    Wakuu, Mimi nafikiri mleta mada ana hoja ya maana! Kama hapo mwanzo kulikuwapo na Adam na Eva ,na wakazaliana mpaka tukafikia kiwango cha watu waliopo hivi sasa ,kwa nini hivi sasa watu wanaogopa ndugu kwa ndugu kuwa na mahusiano au kuoana kabisa? Mie nafikiri watu wengi hawana hoja za...
  19. kajirita

    What was on Osama Bin Laden's bookshelf?

    This is very shame!! Yaani huyu muuaji wa wanaume,wanawake na watoto wasiokuwa na hatia naye ana watetezi? Inasikitisha sana.
Back
Top Bottom