Mkuu,
Hili neno '..kwa profesa huyu huyu...' linaonesha wazi kwamba huamini kwamba profesa Lipumba mtaalamu wa uchumi anaweza kufukuzwa unachama.
Lakini unasahau 'Profesa huyu huyu..' ambaye ni mtaalamu wa uchumi,aliwasaliti wenzie baada ya kupewa 'rupia' kwa kujiuzulu uenyekiti ili kukipa CCM...
Lipumba anawatia aibu wasomi!Sasa huyu ndiye anayesema anaweza kusaidia nchi kutoka kwenye umaskini wakati yeye mwenyewe ana NJAA!!
Huyu sio hata mtu wa kumwongelea!
Kupenda kuanaanzia mtu akiwa na WIVU.Unapo-advance ndio inafuata Ndoa.Fikira ya ndoa inakuja unapotaka yule unayempenda asiwe na mtu mwingine ila wewe tu.
Kwa hiyo simply...
MAPENZI ni WIVU
Huyo anayemuacha mkewe anamegwa na mwingine wala hana mapenzi naye.Ana mapenzi ya BAR!Ambayo ukimuona...
Mimi nadhani tatizo ni WIVU!Watanzania wengi tuna wivu sana na maendeleo ya watu.Hatupendi kuona watu wanafanikiwa!Ndio maana ukiona mtu kafanikiwa utasikia mara ni freemason,mara ameroga!Hata watu ambao wanafanya kazi kwa juhudi na maarifa tunawakatisha tamaa ili wasifanikiwe na wasipofanikiwa...
Mkuu,
Tatizo la Ommy Dimpoz tangu wamwambie "jogoo hawiki" anatumia nguvu kubwa kuwaonyesha watu jogoo wake anawika kuliko kutumia nguvu kwenye muziki wake.Hata ukiangalia kwenye akaunti yake ya instagram ,muda mwingi anautumia kuonyesha video za jinsi alivyo na "muhogo" mkubwa badala ya...
Mkuu,
Nadhani tofauti kubwa ni kwamba wakati Dar Lux inachukua masaa zaidi ya 15 kutoka Dar es salaam mpaka Mbeya,Pangaboi inachukua masaa mawili tu.
'Kama huwezi kulipia 200 ya kivuko basi PIGA MBIZI'
Hivi kuna watu bado wanatoaga lift kwa watu wasiowajua!!!?Lift unapaswa utoe kwa ndugu unaowajua na majirani wasio na shaka.Hapa mjini kila siku wadada wanaibiwa na wengine wanabakwa kwenye magari (hasa tinted) kwa kuwapa lift watu wasiowajua.Matukio mengi hayaripotiwi kwa kuwa wengi wanaona...
Ukiona mtu analalamika au akipigwa picha akiwa kazini anapandwa na jazba au anafikiri anazihakiwa basi ujue mtu huyo either HAIPENDI KAZI YAKE au HAJIAMINI au ANAPENDA SIFA au ana INFERIORITY COMPLEX!!
Mbona wanajeshi wa nchi kubwa kama US hawana mambo hayo ya kishamba!?
Kama wana ubavu...
Wakuu,
Mimi nafikiri mleta mada ana hoja ya maana!
Kama hapo mwanzo kulikuwapo na Adam na Eva ,na wakazaliana mpaka tukafikia kiwango cha watu waliopo hivi sasa ,kwa nini hivi sasa watu wanaogopa ndugu kwa ndugu kuwa na mahusiano au kuoana kabisa?
Mie nafikiri watu wengi hawana hoja za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.