Mbona hakuna data zilizopindishwa! Unaweza ukawa na TSh milioni moja mkononi halafu kuna mtu akakuomba Sh 100,000/- za mkopo ukwamwambia sina wakati anaziona! Issue ni kwamba hizo hela labda umezipangia majukumu tayari na haibaki hata senti ndio maana ukasema simply "sina!" Kwa kirefu ungesema...
Doctrine of Collective Responsibility inamtaka Waziri kutokuikosoa Serikali hadharani! Ndio maana hakuna Mbunge ambaye pia ni Waziri hawaulizi maswali Bungeni, kama ana swali atampa Mbunge mwingine aulize hilo swali! Sasa ukimuuliza Bashe kama ataikosoa Serikali au la ni kama kumuuliza mtu...
Ukiona Shetani anakupiga vita ujue uko sahihi, kaza mwendo! Ukiona Shetani anakuchekea ujiulize umekosea wapi! Pia ukiona UN na US wanakupiga vita ujue uko sahihi, kaza mwendo!
Ukiona hao watu wanakusifia ujue kuna mahali umekosea, tafuta hilo kosa jirekebishe, songa mbele!
Walianza na...
Mkuu amedai kuwa anaowateua hawajamwelewa bado! Sijajua kama amejiuliza kuwa kwa nini mpaka sasa hajaeleweka!
Kama bado ngoja nimweleweshe:
1. Kutokutabirika. Mpaka sasa Mkuu hajatabirika. Amedai kuwa anatumbua wa vyeti feki lakini bado wengine, akina Bashite amewaacha kwa very simple reason...
Mwaka 1948 Wapalestina baada ya vita ya kujaribu kuiangamiza Israel, Wakimbizi 850,000 wa Kiyahudi walikimbia kwenda katika nchi za Morocco, Algeria, Tunisia, Libya, Egypt, Yemen, Syria, Lebanon, Iraq, Turkey. Wengi walihama baadaye kwenda Israeli na nchi nyingine za Ulaya na Marekani.
Kwa nini...
Mbona hujauliza uhalali wa Tanzania kupiga kura UN in favour ya Palestina? Huo uhalali unatoka wapi? Kila nchi inayo haki ya ku-express kile inachokiamini, whether kitafurahisha wengine au la!
Hata wewe nyumbani kwako unaweza kufanya kisichowafurahisha wengine ili mradi unaamini ni kwa maslahi...
The act asserted that every country has a right to designate the capital of its choice, and that Israel has designated Jerusalem. The act notes that "the city of Jerusalem is the seat of Israel's President, Parliament, and Supreme Court, and the site of numerous government ministries and social...
Mathayo 28
19 Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
20 na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.