nilikuwa na mpenzi wangu miaka mi3 na nilimpata akiwa katika mazingira hafifu bt nikakaa nae nikamuimpower kwa kumtafutia kazi akaanza kazi private sector kafanya lakini ilipofika tarehe 22 mwezi wa tano 2014 kaanza vitimbwi. sikujali saana cozi nilikuwa nampenda sana, nilimkanya kwa niliyokuwa...
mi naomba kuuliza, nilimaliza f'6 mwaka juzi kampala Uganda bt nataka kuapply maombi ya mikopo 2014/2015 je nami mwisho wa maombi itakuwa tr 30 juni au august? naomba mnisaidi.............na fomu ya mkopo kwenye internet ntaipataje? il niweze kupata mwongozo.
kama hukumu ya m2 aliyefanya kampein mapema adhabu yake ni kufungiwa ka g.lema, basi wagombea zaidi ya 90 asilimia nao wafungiwe make 2nawaonaga.............................
kwa kweli hilo la kutaka wajumbe walipwe maslai makubwa mimi binafsi cjaliafiki kabisaaaaa.....! kwani wamelazimishwa kuingia? ambae anaona hawezi c atoke? mi naishangaa xana selikari 2lionayo....hv mbona haisikii kilio cha wa2 wengine? eti mwana jamii
mwenzangu ebu nawe jiulize.
Wachangiaji woote! Wanapiga vijembe, hvi mda huu wataufidia vipi? Na cjui naibu spika hasikii? Maana wanaeneza chama kama waziri wa ujenzi. Mi nimeacha kuangalia vijembe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.