Machafuko bado yanaendelea huko South Africa hususani maeneo ya Pretoria vijana wa kisouth wanajimobilize kutoka Mamilodi, Shoshanguve na maeneo mengine kuizunguka Pretoria kuandaa shambulio sunny side usiku wa leo.
Hali si shwari kwa kweli.
Habari waungwana,
Nauliza tu yale mapambano ya Makonda kukomesha mashoga mjini Dar es Salaam yaliishia wapi kwani huku mtaani kwetu ni kero. Kila kukicha wanaongezeka tena bila uoga wowote.
Hali hii inatishia usalama wa watoto wadogo ambao wanawaangalia kama mfano. Nawaza sijui tuchukue...
Habari wakuu,
Mimi ni graduate katika fani ya ugavi (procurement and logistics management), nlatafuta mahali pa kufanya internship ili niweze kuongeza ujuzi katika fani yangu. Nimemaliza chuo cha uhasibu Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.