It's true Nyerere alikuwa mkorofi kwa waliokuwa wanapinga au kupinga mawazo yake, it's true too kuwa wanasiasa wanauana...Karume inasemekana aliua , lakini pia naye aliuawa..Nyerere pamoja na ukorofi wake, lakini alikuwa ana-busara na hekima, vitu ambavyo Lissu hana. Lissu naona kama vile yeye...
Haya anayo ongea Lissu, kama angekuwa anaongea kama m-znz au kakodiwa na wa-znz ningemuelewa..unless his main aim is kuwajaza wa znz hasira za kujitoa katika muungano...otherwise he really needs medication at earliest possible time.
Ndugu unaweza nipa mfano wa nchi ambazo zimeungana kwa aina ya mkataba mnaoutaka ili nipate picha kamili? Hapo mlipo hampo mbali sana na full sovereignity...imepungua wizara ya mambo nje tu.. na mnaweza ipata bila serikali 3..mkiungana wa-znz wote na hasa viongozi wenu, mkasema sasa basi, it's...
Naomba ufafanuzi kwa mwenye kujua jinsi muundo wa serikali tatu utakavyokuwa ama utakavyo fanya kazi...maana nasikia watu wanaongelea idadi tu, sasa likipita hilo la serikali 3 ndo mtakuja na mabunge matatu au? na wabunge watanganyika nao watapewa mashangingi kama wale wa lamuungano au? na...
Ndugu yangu hapakuwa na ulazima wa kuanzisha hii topic, angalia hayo matusi...after all chance ya Dr. kupata urais ni zero , sababu zipo wazi, subiri 2015. Ila acha angalau asadie CCM wasilale....wamejisahau sanaaaaa.
wakati mnafikiria hayo wakenya wana haya
Kenya Airways Orders the 787-8 Dreamliner .. A ultra-Mordern Boeing Aircraft...
Kenya airways has ordered 9 of Boeing's most modernized aircrafts, known as the dreamliner 787-8.
Kenya Airways Orders the 787-8 Dreamliner .. A...
Sisi wa Tanganyika bwana, hivi tatizo lipo wapi kuwaacha wa Zj kujiendesha wenyewe? Wa-Zj wanaonesha wazi wazi hawatutaki lakini sisi tumeshupaa weeee na huu muungano...tunajidharirisha tu...tutengane tukiwa bado tunaheshimiana, usisubiri mpaka mtu akuwekee kinyesi mlangoni ndipo useme sasa...
Katika mazungumzo yake hayo na gazeti hili, Sitta alitamka kwamba ingawa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa na Rostam Aziz, Mbunge wa zamani wa Igunga na mfanyabiashara tajiri, ndiyo aliowataja kwa tuhuma za ufisadi, anafahamu pia mafisadi wengine walio ndani ya CCM lakini ameamua tu...
Most of Tanzania's Institutions are lead by walkers (misukule)...From Bandari, Railway, Tanesco, Air Tz.... Hata hao wanaotukimbia sasa, nadhani ama walikuwa wavumilivu kuliko kawaida or hawakuwa na alternative. Ile siyo bandari bali genge la mafya......kama ulishawahi pitisha mzigo pale, huwezi...
Siwaelewi CDM na CCM, yanii watu wamepoteza maisha na wengine wameumia vibaya...Lakini inaonekana watu wanalitumia kupata umaarufu kisiasa.
Kuna maswali najiuliza sipati majibu...
1. Kama kuna Mtu alitaka kumuua Mbowe kwanini asubiri hadi mkutano mbao tena unamkusanyiko wa watoto na watu wenye...
Jina hali confirm kuwa ni mkristo...pia inawekana katoa jina la uongo bado hakuna vitambulisho vya uraia tuvute subira... Mkuu wa mkoa Arusha, mkuu wa polisi, mbunge n.k nadhani kama siyo wote niwakristo basi wengi wao wakristo... Hata kama aliyelipua ni muislam, what if he did alone...
Hii nchi bana, tuseme Prof. akikubari kujitoa and katiba ikagomewa hela yetu sisi walalahoi iliyokwishatumia ndo imekula kwetu hivi hivi tu? hivi hao jamaa zetu wanaojinadi kwenye majukwaa siku zote kuwa wanauchungu na nchi hii, wanatumbia ukweli au ndio ule mwendelezo wa danganya toto? kwanini...
Acha watujengee bandari bana, hiyi ya Dar kwanza port charge zao zipo juu, wanatuibia mizigo yetu, unapewa only 7 days, after that wanaku charge mahela kibao....kuiondoa bandari katikati nako kunapunguza usumbufu....watu wanataka bandari ijengwe Ntwara kwenye kona kabisa ya Tanzania?
1) Naona wachina wanapigwa madongo juu ya hii mikataba, kwani ni Tanzania au China ndio wameinitiate ujenzi wa hiyo bandari?
2) Wachina wanajua udhaifu wetu katika kusimamia miradi, wametupa TAZARA- imetushinda, Kiwira-imetushinda, Urafiki-imetushinda, Mang'ula machine tools-imetushinda, magari...
Tanganyika ndiyo Tanzania bara na Tanzania bara ndiyo Tanganyika....Hapa tulibadiri Label tu, Chupa na mvinyo ni vile vile.
Rais Mtanganyika, waziri mkuu Mtanganyika, Speaker Mtanganyika, wakuu wa majeshi na Polisi Watanganyika, Gavana wa bank,wizara karibu zote zinaongozwa na...
Mtu katoa hoja ama swali la msingi, watu badala ya kujibu mkielezea mafanikio ya mbunge wenu mnarusha mawe, ndiyo yale ya CCM!!!! ukihoji jambo basi unatumiwa na wapinzani. Hivi nyie wanasiasa kulikoni? So Kikwete naye akiulizwa kuhusu mafanikio yake ajibu Mugabe kafanya nini.....Tunataka...
Umeme ulianza zalishwa Mtera toka enzi za 47 lakini Mtera bado kijiji masikini hadi leo, hata vijiji jirani na Mtera havina umeme....So umeme kufuliwa Mtara will not necessary translate into maendeleo or ajira ya maana kama hakuna broad plan, strategy and will.
Kwa maendeleo ya kweli tunakiwa...
Kwa Tanzania , Smart leaders who can walk the talk and walk the walk are either not yet born or are still in kindergarten. There is a big gap between the required leader to move this country to the right direction and what we have.
Kuna ambao wanavuma kisiasi unaweza fikiri wanafanya cha...
approach wanayoitumia wazenji kutaka kuchomoka kwenye muungano haitofautiani sana naya mke anayedai taraka.
tena taraka rejea...hujaolewa unasubiri kibari cha nani kufanya mambo kivyako? Kutuchanganya zaidi wapo wanaotaka serikali tatu na wapo wa zenji wanaosema hiyo siyo sera ya CCM so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.