Ina maana vijana watakao wanamfuata ni wahovyo tu? kutoa ushauri sio lazima kitu upitie je siku ukifuatwa na shoga linataka ushauri utashindwa lishauri kisa wewe hujapitia?
Ninachokiona ni uelewa wenu mdogo, wenzetu wakikutana wanaongelea successful waliofikia na kama kunafursa wanayoweza kushare au kusaidiana Ili kusonga mbele zaidi, sasa nyie mnataka mkikutana story ziwe mihogo,utopolo mara jinsi la mgunda
Cha ajabu pamoja na kujua kwake kuogelewa kikiwa kama kigezo kilichomuwezesha kuogelewa, akimaliza mafunzo utasikia kapangiwa zimanoto singida au dodoma
Tulipofikia hata wakinawa mavi yapo pale pale mtu kabandika mikucha 3cm anachokinawa nini? Lipe kijiko tu hakuna linachokinawa mikucha Ina accumulation ya H. pylori wa week zaidi ya mbili yaani umpe sanitizer apake then aanze kufakamia
Sema tu huku Africa kwakuwa wazee hawana ramani Wala legacy yoyote, ila huko Asia mtu mzima usimsogelee hata kama Hana legacy ya pesa basi atakuwa na black belt,
Kiufupi sisi hatuna uwezo wa kufundishana zaidi ya elimu ya degree moja basi, ndio maana ukichukua mwenye degree na mwenye zaidi ya degree huelewa haufanani, je ni research gani zenye tija zilizofanywa?
Ninachokiona mm umasikini ndio unasumbua wengi wanaoshabikia gari nikwasababu hawakuyakuta kwenye familia zao na walikuwa Kwa shida hivyo starehe walizotakiwa wazifanye wakiwa wanasoma huko za kubebea mademu,pombe wao wanawaza wakiwa wameanza maisha rasmi
Nina mashaka na upeo wako, hivi unadhani nuclear bomb linahitaji accuracy? Hiyo 150m ni kubwa sana, tafuta radius effects ya bomb la nuclear ni umbali gani then uje ufute ulichoandika hapo
Kaa jichunguze utagundua ulijiingiza kwenye mgogoro wa kifamilia bila kujua,
Hiyo familia ilishaparaganyika mkeo kabase Kwa mama ila Kwa fikra za mkeo anaona wewe upo na baba na hata hizo siku kadhaa mlizokaa wote isitoshe alikuona unaharakati nyingi kuhusu huyo Mzee kitu ambacho hakukipenda na...
Wekeza kwenye vitu vya maana utakumbukwa, mother alikuwa mgao wake wa Banda la Babu walilouza kkoo akatupatia na sisi in migao tukafanya mtaji kwanini Babu tusimkumbuke? Hadi mwanangu nimempa jina la Babu yake, maana bila Babu sijui ingekuwaje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.