Haiwezekani apatie yote eti ila la utapeli sio!!!
kama amepatia maana yake yote yako hivo labda wewe mwenyewe ndo hujui kama ni tapeli lakini wahanga wako wangekuwa wanasoma hapa wangekubaini!!
hata mi ninao uelewa kiasi fulani lakini hapo sielewi chochote??Hao waongoza semina watakuwa na wao hawajaelimika kama wataleta hii kitu kama ilivyo bila kujali wahudhuriaji! kwani hayo maneno uliyoandika ni kiwakilishi tu cha aina fulani ya kitu kwann wasikijadili hicho kitu kwa lugha rahisi...
Du WATZ wana mambo..mtu kaomba ushauri lakini katika kurasa 9 nimeweza kuona washauri kama 3 tu ndo wanaoelewa wanachosema..wengine mmmh. maadam ana mtandao basi ni kuweka neno lolote..hiyo ndo sababu inayomfanya huyu msomi afikirie kuhama nchi yake..kwa sababu tanzania kuna watu wengi sana...
sio wote walioko kwenye siasa ni wanasiasa, wengine wacha natural process ziwamalize kwa style hiyo. mwana siasa anayejua malengo yake hawezi ku-indulge upuuzi huu.
wasiwasi wangu ni kuwa kuna agenda nyingine ya siri kuliko kuundwa kwa tawi la ccm hapo DMV,Huyo mtu kachaguliwa kwenye hicho chama juzi na huo wizi ni wa miaka karibu 7 iliyopita kama sikosei! kwann hamkukemea wakati huo! na sioni connection ya wizi wake na matawi ya ccm ughaibuni mpaka utoke...
Ya chenge ni issue nyingine tofauti!! kwangu mm mtu yeyote aliyeibia jamhuri ya muungano wa TZ ni kosa la jinai. Namlaani chenge na genge lao lote na mungu atawaadhibu zaidi. na hayo ndo mambo ya kuongelea na sio mtanzania ameibia bank US. hilo alinihusu kwa sababu misingi ya mabenki hayo ni ya...
Yaani maisha duniani yangekuwa kama mnavyotaka nyinyi basi duniani pangekuwa mahala DULL sana. hivyo ukiona wengine wanafanya mambo tofauti na wewe unatakiwa ujifunze na sio kuponda hisia za wengine. Maadam we huna uwezo wa kuzuia matawi kufunguliwa hapo DMV hiyo pia ni sababu tosha ya wewe...
Watz bwana acheni wivu wenzenu wanakuja huku hata hiyo tax hawalipi!! eti we unajidai waende ndani for a considerable amount of time...we fanya unachoweza waache wenzio wafanye wanayoweza hakuna rule iliyo sahihi katika dunia hii inategemea we umesimamia upande upi!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.