Duuu! kweli umenikumbusha mbali....... Alishatufumania mto Naura tunavua samaki/vichwa runguu muda wa darasani tulijutaa.... maana tulikimbia kupitia police huko huko mtoni na kutokea Kaloleni. Bali tulimwachia vumbi....... Haaaaa Haaaa
Hawa wanawake wakati mwingine hawafikirii..... Maana kwenye ugomvi kama huo wanajaribu/wanatumia watoto wadogo kama kinga.. na madhara yake ni hayo. Huyo mwanamke kalianzisha na hapo kabeba kichanga cha mwezi jamaa kakasirika ile kumpiga konde mkewe bahati mbaya likaangukia kwa mtoto Denis...
Mwenge - Kwa sasa hakuna tena maana ya kukimbiza mwenge nchi nzima ni bora uwekwe kwenye makumbusho. Kwa sasa ni chombo cha kufuja pesa za walala hoi tuuu.....
Mabina alishakua Jambazi,Mporaji, Muuaji katika ziwa Victoria kwa miaka 1989 na kuendelea. Nilishangaa alivyoibukia CCM. Hata police Mwanza na Mara wanamfahamu sana kwa matukio ya kihalifu huyu bwana. Kumbe bado alikua na roho ya uporaji na dhuluma!!!!!
Ndugu yangu folk nakuomba japo ufwate ushauri wa sokwe . Ni wa vipimo tuu then utajua nini kinakusibu. Hata kama utaendelea na ushauri mwingine uliopata kutoka kwa JF members lakini usiache ushauri wa vipimo kutoka kwa sokwe. Nakutakia kila la kheri, ufanikiwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.