Hi Wanajamii, nafahamu humu tumesambaa Dunia nzima, sasa leo naomba kama kuna Mzalendo yupo UK au Japan , na anasafirisha mizigo or kufanya biashara UK/Japan -Tz aniinbox nataka kuagiza bidhaa flani toka huko, tutaongea zaidi inbox kuhusu gharama km collection, shipment etc.
Natanguliza shukrani
Hi Wanajamii, nafahamu humu tumesambaa Dunia nzima, sasa leo naomba kama kuna Mzalendo yupo UK au Japan , na anasafirisha mizigo or kufanya biashara UK/Japan -Tz aniinbox nataka kuagiza bidhaa flani toka huko, tutaongea zaidi inbox kuhusu gharama km collection, shipment etc.
Natanguliza shukrani
click that link am getting my first payment today (usd 485) through western union, not bad deal after just 8 days , my week end is taken care of why not you?
http://jobrize.com/index.php?ref=450601
Nahitaji iphone 6-64gb and above, pia Samsung Note 4 (prefferably Edge)-Budget yangu 2.2m kwa zote, ziwe original hata kama used lakini in good condition pia muuzaji awe tayari tuzicheki kuwa hazijakwapuliwa !!
sasa naona mnayumbishwa mnaacha kufuatilia sera na kujadili sera za vyama vyenu, tafadhali msahauni Slaa na ----- wake, hata mimi mnazi wa CCM kaniudhi kuwa so cheap na ordinary old accusations! so hastahili mjadala kanyaga twende!!
Hey wanaJF,
Naombeni ushauri, nimeoa (japo complicated) nina watoto wawili, sasa nimekuwa na niuite mchepuko (ili ieleweke), sasa yapata mwaka wa pili huu, namhudumia kila kitu almost na akiwa na shida ananiambia nimsadie, ananipenda sikatai nami nampenda, shida ni kwamba hataki kabisa...
asante nitawasiliana nao, naweza pata muongozo nijifunzie wapi kwani huyu bwana ye amecompose tu nyimbo za rc (kiwahili) na music sheets bila mafunzo, asante sana Remote
Wanajamii naomba msaada kwa anaefahamu mwalimu au chuo kinachofundisha music vizuri ( haswa upigaji wa keyboard/piano). Ninaomba mawasiliano ili niwasiliane kuhusu gharama, mda na location. Natanguliza shukrani kwa msaada ntakaopata.
NB: Naishi Dar Es Salaam maeneo ya bahari beach.
sawa mkuu vipi katika fuel consuption ujue vipuri huwa ni ghali ila kutegemea na uendeshaji na matunzo unaweza usione issue saana, ila hapo kwa fueling zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.