Kazi za kamati za Bunge huwa zinagharimiwa na Bunge, kuna bajeti ya kufacilitate kazi zao. Hata hivyo kamati zinapokuwa kazini, mfano kutembelea mashirika haya, mashirika yamekuwa yakilipa pia. Kwa hiyo basi, kuna baadhi ya kamati za bunge, walikuwa wanalipwa mara mbili, ikiwamo kamati ya...
Basi usimshirikishe Mungu kwa kusema Mungu akijaalia. Sema nisipofanya uzembe nitakuja Dodoma kula zabibu.
Hapana, ni mpango wa shetani, anayewaletea watu majaribu ili waende kinyume na anavyotaka Mungu.
Nope, hiyo ya Austria na Australia ilikuwa weka facts sawa. Haihusu katika subject.
Narudia kuandika anayeamini Mungu, yaani muumini; anaamini kila jambo limepangwa na Mungu, mabaya yote yanayotokea ni majaribu. Muumini hawezi kuquestion 'qadar' - uwezo wa Mungu. Utapojikuta unaquestion hili...
Hapa unadhihirisha kuwa wewe si muumin, waumini hawamquestion Mungu, kila jambo ni mapenzi ya Mungu, mabaya ni majaribu na mazuri yamepangwa. Kwa mantiki hiyo, mchango wako kwenye mjadala kama huu utakuhesabu upande uliosimamia kwa sababu katika mambo ya imani unaweza kuwa moto au baridi, ukiwa...
Kama sio wewe umeandika, unasimamiaje maudhui ya mwandishi. Ukitaka kusimamia argument hizi kuvaa uhusika hakuepukiki. Kama unamwamini Mungu hutakubaliana na huyu mwanadishi, kama la, basi unakubaliana na mwandishi.
Having said that, yeyote anayeamini uwepo wa Mungu anaamini kuwa kila jambo...
Mkulima VoR, wewe huamini Mungu na uwepo wake, so huwezi kumlaumu Mungu. Wanaomlaumu Mungu, ni wale wanaoamini kuwa yupo, na imani zao ndivyo zilivyowafundisha.
Miaka 50 ya uhuru bado hatuna umeme reliable, na asilimia zaidi ya Watz hawana access na umeme. Kwa nini?
Hilo la kuanza nalo, watanzania na wanaharakati tulishikie bango tudemand right ya kupata umeme reliable kwa watanzania wote. Tumechoka kukaa gizani, si enzi za ujima hizi.
Hili litazaa...
Mimi na wewe nani analia lia hapa kama si wewe. Chadema wataendelea kuchemsha miaka mitano ijayo. Hii tone yako kama za dada fulani tuliyekesha kulinda kura zake. Jipangeni, acheni kuropoka na kukurupuka.
Mnamtambua JK kama Rais, kama hammtambui mbona mko kimya hamchukui hatua? Kawaulize...
Shibuda kafanya nini hamsemi, mnaponda tu. Shibuda kageuza binge sehemu ya mipasho wakati hujaweka hata mpasho mmoja! Kama nia ni kumponda kwa vile hamuelewi alichosema basi mngeponda tu hapo mbele ya TV bila kuanzisha thread JF. Ina maana mnataka kuongeza number za thread mlizoanzisha na post...
This does not come from no where, there should be a reason. Mubarak rules Egypt for 30 yrs, no even MP. He was controlling everything. Leave alone Zimbabwe where changes are soon to come, what otherSS country have this kind of leadership todate?
Enzi hizo moto unawashwa na kumkoma nyani mchana kweupeeeeeeee, maslahi ya Taifa mbele chama nyuma; those were times in JF ambapo hutaki kumiss hata dakika moja, watu walikuwa wakesha JF.
He is right, kwa vile loyal followers wa chadema wako blinded, hawaoni kuwa chadema wanamkubali Rais na Urais. Umeya tu waliandamanisha watu hadi wengine wakapoteza maisha, ije kuwa Urais, ama kweli mmeshikwa masikio. Chadema hadi kamati za bunge mnaongoza leo mnasema hammkubali Rais, whata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.