Ninaandika haya kwa uchungu mkubwa nikiwa na ombi moja kuu kwa mamlaka zinazohusika kulichunguza kwa kina shirika hili, ili kubaini ukweli wa utapeli nitakaoufafanua hapa; kisha hatua husika ziweze kuchukuliwa kwa haraka.
Shirika hili limekuwa likijifafanua kuwa limekuja kutusaidia sisi...
Utangulizi: Mkataba wangu wa kazi ulifikia ukomo tangu tarehe 31/12/2017. Sikuwa nimejiandaa sana juu ya ukomo wa kuendelea na kazi kwani kampuni niliyokuwa nikiifanyia kazi ilikuwa na utaratibu wa kutupatia mkataba wa muda wa mwaka mmoja na kila ulipoisha tulipewa mkataba mwingine, mwaka huo wa...
Nateswa na kauli ya rais kwa sababu watendaji wa NSSF wanadai ilikuwa ni siasa tu za majukwaani wao hawatoi hela wala hawajaagizwa kutoa. Nadhani kuteswa na kauli ya rais ni sawasawa na kuteswa na rais, hivyo Rais ananitesa.
Unanishauri nifungue madai huku Tukuyu, hapohapo unaniakikishia kuwa siwezipata hayo mafao, huoni kuwa hata ningefungulia Tukuyu bado ningekuwa mteswaji wa kauli ya Rais?
Asante kwa kutambua kuwa matamko ya jamaa ni ya kupayuka, hapa umenisaidia kuuambia umma kuwa kauli zake zinatutesa wanyonge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.