Search results

  1. E

    Mwanamke mwenzangu, Wewe ni mwanamke wa aina gani kitandani?

    nakupenda you know?La mbebez wa ukweli
  2. E

    Mwanamke mwenzangu, Wewe ni mwanamke wa aina gani kitandani?

    kwahiyo hapa category ni mbili tu?ugoigoi na ustadi?
  3. E

    Looking for friends

    sura umekula ubuyu au ukwaju?
  4. E

    Swali letu la kipima joto

    si kuna ule usemi wanasema mwanaume pesa kibamia tutavumiliana?
  5. E

    Swag tablet 102 inauzwa kwa bei poa(1 year guarantee)

    Tablet aina ya swag large size 102 inauzwa kwa bei poa kabisa Tshs 450000 Haina tatizo lolote hadi screen protective cover yake ipo, that's why imebakiwa nayo Guarantee yake,kwa mwenye nia naomba tuwasiliane kupitia 0767981535,imetumika miezi minne tu!!
  6. E

    Mbowe kuwania tena uenyekiti CHADEMA

    Dhana ya Mwenyekiti lazima awe na association na Mzee mtei acha iendelee Mbowe ndo chama kitamfia mikononi
  7. E

    CHADEMA...hii trend sio

    tatizo slaa na mbowe wanawatongoza nakuwapachika mimba thats why wanaogopa
  8. E

    Wanaume katika kuchagua mwenza: SURA AU FIGA?

    sura na figga kama Kim kardashian its my fantasy sura figure kanye aliniwahi aisee
  9. E

    Iwapo Dr.Slaa atagombe urais CHADEMA 2015!

    itakua umepima na ugoko,sio bure.......kelele za JF humu zisikuvumbishe kichwa ,chadema hawana sera..........wao ni chama cha matukio........wanasuburi nani alikoroge waandamane.....lakini strategy za kuijenga nchi kiuchumi hamna
  10. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Cdm comitted suicide itself hata zzk akiondoka still uasi utakuwepo
  11. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Misukule ya ufipa ina vichwa vibovu sana..hivi inawezekana ukatoa rushwa kisha ukasema nmempa kitu fulani yule hadharani? Akili itumike kidogo
  12. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Na hao wenyewe risiti/au taarifa za fedha za bank alizopewa zzk na Nimrodi wanazo?
  13. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Hivi tundu. Anafanya saa ngapi kazi zake za uwakili siku hizi?
  14. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Mkiwatimua hao kinachofuata cdm ni kuwekeana sumu ,wenywe kwa wenyewe
  15. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Cdm ijiandae na ma biffu mengine ya chaguzi za ndani mwaka huu
  16. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Na ya mbowe kuzaa na mbunge wake wa viti maalumu no ngapi?
  17. E

    Ndoto yangu niliyoota na dk slaa.

    Lema baunsa wa chama hawezi kukubali hayo,atakosa watu wa kuwapiga kabisa kwa sababu kutakua na masalia mengi sana
  18. E

    OFFICIAL: CHADEMA yawavua uanachama Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba...

    Nimeamini maneno ya Ritz,kuwa anayefuata kushughulikiwa ni Albert Msando
Back
Top Bottom