Kati yako na dr. Slaa nani aliumia yeye aliyeondolewa ugombea wakamweka Lowassa Jambazi kuu, na yeye aliyeamua kuishi imani yake kumkataa Lowassa..! Still bado Lowassa aliisaliti CHADEMA akagoma kuandamana kupinga dhuluma ya kuibiw kura na kurudi CCM kwa maringo eti ni nyumbani..!
Heheheh..! Kiranga ungejua kuwa sayansi haijawahi kujibu swali WHY mara zote ina jibu maswali ya HOW ungeacha ubishi.
Kifupi sayansi haiundi kitu kipya ndiyo maana haiwezi jibu swali la kwanini mara zote inajibu KWA VIPI/KWA NAMNA GANI.
Labda uniambie kwanza watafute muarobaini wa wizi ili zikikatwa zitumike kweli..! Gharama unayotumia kwa foleni na kununua vipuri na kuchelewa kazini ni zaidi ya mara 500 ya hiyo sh.100
YES, MUNGU HUWA ANANJIA YAKE YA KUWAOKOA WATU WAKE, ILA SABABU YA UPUMBAVU WAO WANAWEZA ANGAMIA. CHADEMA HAIKUTAMBUA MAGUFULI ALIKUWA SABABU YA WAO KUIMARIKA NA KUJUA KUJITEGEMEA SASA HIVI WATAKUFA.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Unadhani haya nayo yasema na kuandika nimepata shuleni..? Najua kwa kuwa tofauti na wewe, na hakika si kwa uwezo wala utashi wangu maana najibu si kwa ufahamu wangu pekee .
Sijasema kuhusu kukufikisha kwenye uongo, Mungu anayeongelewa ni True God (Mungu mmoja). Imani usichanye zipo imani nyingi. Imani ya Mungu mmoja inajipambanua vyema.
Unaleta reasoning ya logic, syllogism ina makosa makubwa mno..! Huwezi draw conclusion kwa logic siyo kila kitu kinafuata huo mtririko wako wa logic.
Umeenda bank kukopa ukiwa na nyumba ila umesahau hati, hukupewa mkopo sababu hukutoa ushahidi wa nyumba ila haimanishi huna nyumba.
Chukua hii...
Just because of His Graceful, sababu anaweza yasiyowezekana kwa akili zetu, ameweza kutuwezesha kuyafahamu yaliyo nje ya uwezo wa uelewa wetu kwa jinsi apendavyo na aonavyo inafaa si kadri ya mapenzi yatu.
Reason: He is reasoningless, his mind is incomperable.
Kila imani ina chanzo/asili yake na ukiifuatilia vyema utagundua Mungu au mungu(muungu) anayezungumziwa katika imani hiyo anathibitika. Sisi watu wa monotheism (single and only One God) tunaamini katika Mungu mmoja ambaye ni chimbuko la kila kitu, ata hiyo miungu.
Imani si lazima iwe ni kuhusu...
Hiyo nyumba unakuwa nayo au hauna..? So why mlazimishe lazima kuwepo kwa kitu kuweze kuthibitika...? Na uwepo wa Mungu hauhitajiki kuthibitika kwa vigezo vya kibinadamu imani inayotokana na vitu visivyo na majibu kama chanzo binadamu na uhai, na vitu vingine kama jua na hiyo science mnayosoma...
Magufuli hakusimamishwa akawahutubie wananchi walimsimamisha kudai huduma kama maji, umeme, hospital na shule maana ndiye aliyekuwa anakusanya pesa(kori) zao. Mbowe wanakuja kumuona na pengine wanamsikiliza ana utofauti upi na hicha chama cha majambazi (CCM).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.