Zinatumika Kenya kubeba umeme, investment cost yake ni kama usd 400 tu, tatizo Tanzania ni madalali kwani kila kitu sasa lazima dalali awepo kati. Tanesco wametangaza hivi karibuni kufanya majaribio yake.Muhongo tuwasiliane kwa maelezo zaidi mimi mtanzania niko Kenya na nchi nzima wanatumia na...
Demokrasia ni KUSHINDWA au Kushinda... ni sawa na kukubali matokeo.. sasa kama wewe hauwezi kukubali matokeo ya kura je si wataka tuwe kama RWANDA/BURUNDI/UGANDA au SUDANI KUSINI...
hiyo picha ni Ghana, kwao hii kitu kawaida... kunamajeneza hadi RangeRover...huyo jamaa alikuwa mchora ramani za majengo...mavazi yao meusi ..yanaonekana..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.