Search results

  1. M

    Yuko wapi Prof. Kulikoyela Kahigi?

    Alitorokea ACT aka AChaTwende!
  2. M

    Mpaka Rais atoke Dar kuzuia Chakula cha Msaada Misenyi

    The delayed onset and below-average Vuli rains (mid-September to December) point to a likely deterioration in food security for poor households in Arusha, Kilimanjaro, Pwani, and Tanga regions as the harvest in March is expected to be significantly lower than normal. Reduced labor opportunities...
  3. M

    Kabla Rais Magufuli hajazama jumla, ajiulize kwanza kwanini Kagame na Kikwete walikuwa na mgogoro?

    Zaidi ya hii reli ya kisiasa ya aina ya "Standard Gauge" sioni manufaa ya Rwanda kwa uchumi wa nchi yetu. Ni mimi tu.
  4. M

    Steph Curry Visits Tanzania.

    Miaka 3 ilopita ndio alitembelea kambi ya wakimbizi Nyarugusu.
  5. M

    Kassim Majaliwa: Niambieni ni nchi gani duniani Bunge huonyeshwa kwa saa 8?

    www.c-span.org/live House of Representatives Live Video: HouseLive.gov
  6. M

    Kassim Majaliwa: Niambieni ni nchi gani duniani Bunge huonyeshwa kwa saa 8?

    Ulikuwa unapiga box na bunge kwako halikuwa na faida. Kama hujui unachoongea basi nyamaza... Fuatilia hapa kesho siku nzima. House of Representatives Live Video: HouseLive.gov Pia nenda C-SPAN TV ni live muda wote hata pale wanaposubiri zoezi la kupigia kura bungeni zikamilike! Na mabunge yote...
  7. M

    Waziri Mkuu: Halmashauri ambazo hazitakusanya mapato kuanzia 80% nitazifuta

    Abaeleze wabongo lile tamko la kwamba mabasi ya mwendo kasi kuanza kazi Januari 10, limeishia wapi? Ama vipi aje ajisahihishe kama alimaanisha January 10 2017!
  8. M

    Msaada anayeijua Tanga Tech

    Mimi nilikaa Nyati!
  9. M

    CUF na CHADEMA, kwanini maprofesa hawapendi kujiunga navyo?

    Mwalimu msaidizi sio mwalimu, Mmmh!
  10. M

    Mzungu/muitaliano akanusha kutapeliwa na January Makamba

    Ningetegemea letter head iendane na official logo ya kampuni ya muitaliano, click here Home Ila hapa nafikiri ni ama za muitaliano ama za January!
  11. M

    Chiku Gallawa: Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wamedumaa kiakili

    Kuna ukweli hapo. Mwalimu alijaribu kuhamishia ikulu Dodoma akifikiri atawaendeleza, lakini wapi? Bila kusahau omba omba wengi barabarani ni wenyeji wa Dodoma. Hata hivyo asilimia nyingine wako vizuri sana. Nakubaliana na tathmini ya Kamishna Chiku.
  12. M

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    Kufaulu darasa 7, Kidato 4, na 6 na maisha ya kitaa havina uhusiano wa 1 kwa 1. Mimi nimesoma na wanafunzi walikuwa wanajiweza lakini wakachemsha mtihani wa mwisho! Baadae wameweza kujiendeleza. After all, mitihani hii inabidi iwe 50%, nyingine itoke kwenye continuous assessment.
  13. M

    Msaada: Dollar nimechange imekataliwa

    Nikweli dollar ya 1996 hawachukui na ukibahatika kukuta anaechukua anakuchenjia kiduchu yaani unapata hasara. Labda nenda benki.
  14. M

    Kipi bora: Elimu bure au kuchangia?

    Nakubaliana na wewe 100%. Hizo pesa wangewekeza kuboresha miundombinu ya elimu kujenga madarasa na kununua madawati, vitabu vya kiada na ziada. Na pia kuwalipa walimu mishahara mizuri na posho za kujikimu kutokana na mazingira magumu ya kazi.
  15. M

    Nasubiria kumsikia Magufuli akimpongeza Museveni

    Ndio itakuwa safari yake ya 1 nje ya nchi. Bila shaka atasafiri na boti ziwa Victoria kwenda Uganda kushuhudia uapisho.
Back
Top Bottom