Mleta mada umekurupuka.....na sidhan kama unafatilia siasa za nchi hii.........kwanza Mtikila hakuwa mgombea wa urais maana hakukidh vigezo vya kuidhinishwa na tume ya uchaguzi............
Lakin pia Dr Omary Ali Juma alipofarik hakuwa mgombea mwenza alikuwa tayari yupo...
Afisa utumishi yupi...? Ofisi ya utumishi Ileje ina maafisa utumishi kama watano hivi....wanawake wapo wawili na wanaume watatu kama sikosei.....sasa wewe unamsema yupi..?
Shule ipo Mlandizi......kama km 1.5 kutoka Stand.......ina wanafunzi mchanganyiko kike na kiume kwa form 1 na 4......kwa kidato cha 5 inachukua watt wa kiume tu....ina walimu wa kutosha na ina maabara za kutosha navifaa vyake kwa masomo ya sayansi.....
Kwahyo vile mlivomchafua Salim Ahmed Salim mwaka 2005.....akaonekana hafai leo hii anafaa tena? Ila sasa Naamin CCM ni ukoo wa Panya......
Hiv si nyie kwa kuwatumia waandishi wa habari makanjanja mlidai Salim sio raia wa Tanzania..? hivi si nyie mlidai Salim anahusika na mauaji ya rais wa...
Mkuu kwan hujamuelewa jamaaa? wewe si umesema mwezi wa sita jamaa kaahid kumtia mimba.....?
Ndio maana jamaa hapo juu kakushauri usubiri hadi mwezi wa sita atiwe mimba ......kwanza labda ndio utajua nini cha kufanya....
Pia uchaguz uliopita Ccm Walijinasibu kuwa wana mtaji wa.wanachama milioni 5, Kura zilipohesabiwa wakapata hzohzo Milioni tano, Hapo Ritz unataka kunambia kwamba ccm haikupata kura nje ya ccm au ule mtaji wa milioni 5 uligeuka hasara??????
Mfano sekta gani? kumbuka kuwa walimu ndio wanajiliwa kwa wing kuliko sekta yeyote Tanzania. Pia kumbuka kuwa watu wamemaliza chuo miaka mitatu ilopita mpaka leo hawana ajira.
Kwani kwakumtumia mtu mwingne kupata cheti cha mwanae anakuwa kakiuka kifungu gan cha sheria ktk katiba ya JMT. Ulishawah kuhoji kama babaako alimtafta mamaako mwenyewe au alitaftiwa? Achen kufatilia maisha ya ndan ya watu.
Sasa kama Magamba nanyi mnaangalia taarifa ya habari ya ITV, ni nani anayeangalia habari ya TBCCM Muda huu? Au na ninyi mmekisusia kituo hiko kama wengne tulivofanya?
Kaka hata siku moja huwezi kuchenji lafudhi ya mtu,. Na ndo maana hata katika mada ya Asili ya kiswahili kuna mada ndogo iitwayo lafudhi. Inafahamika wazi kabisa kuwa kiswahili kimetokana lugha za kibantu. Hivo bas kiswahili cha mngoni na kiswahili cha mangi wa arachuga lazma viwe na lafudhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.