Search results

  1. M

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Mhhhhh.. hiyo nayo ni shida nyingine
  2. M

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Uthubutu ni sahihi lakini ingetakiwa kuwepo mchakato wa kuhakikisha kuwa maamuzi yanafanyika kwa maslahi mapana ya Taifa letu.
  3. M

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Hapa nikitamka kwamba kwa hali ilipofikia haitakuwa sahihi mzigo huu kwa kuanzia akabebeshwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali? La sivyo tuonyeshwe aliishauri nini serikali. Kama ushauri alitoa kupinga swala hilo na serikali haikuzingatia ushauri huo, kwanini basi hakujiuzulu?
  4. M

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Hapa kuna shida, unajiuliza nchi nzima inaingia mkataba bila ufahamu wa namna ya kuusitisha?
  5. M

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Hapa ndipo tatizo la siasa zetu lilipo. Hakuna atakayekubali jina lake kutajwa kuwa alihusika na kuandaa mkataba uliozaa janga hili. Hasa alieweka sahihi kuidhinisha jambo hilo angetolewa hadharani tukamfahamu au tukawafahamu.
  6. M

    Wanasheria wa Serikali Wakwama Mahakama ya Kimataifa. Bilioni 300 Kuchotwa

    Watanzania hawawezi kupata maendeleo ila wanaojifanya kuwa ni Watanzania ndiyo wanaopata maendeleo
  7. M

    Paul Makonda: Tumechoka na ahadi za treni za umeme

    Mungu ameibariki sana Tanzania labda SASA tuombe abariki akili zetu
  8. M

    Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

    Hii mada imekaa kama kitu mtu kajitungia tu kaleta hapa na watu wanapoteza muda wao buree. mleta hii mada hebu tuwekee video yake akiyazungumza hayo uliyoandika.
  9. M

    Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

    Hilo wengi tulidhania hivyo tangu ile siku ya kwanza. Lakini kukosekana tamko lolote la uhakika kupinga tamko ambalo limesemwa wazi kwenye mahojiano kama yale unaweza kutafsiri vipi?.
  10. M

    Embassy Hotel na Motel Agip: Nini hasa kilitokea?

    Tanzania yetu ni nchi ya ajabu sana. Hii habari niliituma hapa JF mwaka 2010, mpaka leo jambo liko vile vile na hali ya hii Hoteli imezidi kudorora.
  11. M

    Waziri anayemiliki jumba la kifahari ufukweni Dubai atajwa

    Siyo kwamba huo ndiyo urefu wa kamba yake?
  12. M

    Kijana Mzalendo amvaa Spika Tulia Mkataba wa Bandari

    Upo uwezekano wa baadhi ya waliotajwa kuhusika na huu mkataba kuja kujibu maswali haya ndani ya mahakama.
  13. M

    Tanzania sasa yapata kibali kipya cha kupakua na kupakia mizigo Nairobi. Kenya walitaka tufuate taratibu

    Nashangaa sana kuona mtu haelewi kabisa inconvenience iliyotokana na barua ile! Actually there are unnecessary costs involved.
  14. M

    Tanzania sasa yapata kibali kipya cha kupakua na kupakia mizigo Nairobi. Kenya walitaka tufuate taratibu

    sasa mbona hatuelewi tatizo ni hatukufuata taratibu au wao ndiyo hawakufuata makubaliano? Mamlaka itoe maelezo kwa Taifa ili tufahamu ni nani alikurupuka. Kama barua kama ile inaweza kuandikwa na kuwekwa wazi namna ile halafu inakuja kugundulika kuwa Tanzania tulikurupuka, aliyesaini ile barua...
  15. M

    Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

    Mfumo wa dili ndiyo tatizo wala siyo maji ya bwawa. Kwanza ukitaka kujua kwamba hilo bwawa halitakuja kulissaidia Taifa angalia mkandarasi aliyepewa hilo jukumu. Hana experience nzuri au stahiki ya kufanya kazi hiyo. Visingizio anavyotoa vya kuchelewesha ni vya kukosa "proper planning". Pili...
  16. M

    WB: Nchi 5 zinazokopa zaidi Mikopo ya riba nafuu kupitia dirisha la IDA. Tanzania ya 3

    Tatizo kama unavyosema siyo kukopa, bali kukopa kwa kuzingatia vipaumbele vya kitaifa, mipango iwe thabiti na usimamizi mahiri wa matumizi ya hiyo mikopo na utekelezaji wa miradi. Usimamizi huo unaweza tu kuwa na mafanikio na kuwa endelevu kama kutakuwa na sheria katili za kuhakikisha wanaokiuka...
  17. M

    WB: Nchi 5 zinazokopa zaidi Mikopo ya riba nafuu kupitia dirisha la IDA. Tanzania ya 3

    Jiulize ni kwanini tuko mahiri sana kutafuta mikopo lakini yanapokuja maswala ya kujitetea kwenye kesi za mahakama za biashara za kimataifa hata kuongea hatuwezi??
  18. M

    DPP: Hakukuwa na nia ya kufungua kesi ya Jinai dhidi ya Pauline Gekul

    Ukimsikiliza sawasawa kwa utulivu utagundua wazi kuwa huyu siyo mtoa haki kwa wananchi. mengine unaweza kujazia ...
Back
Top Bottom