Nafkiri kama uchunguzi utafanyika upo ushahidi wa mazingira kwasababu tukio limetokea mchana na kuna baadhi ya vielelezo vimeonekana kwanza dereva wa hiyo gari ni shahidi tosha
Sahihi kabisa pia huyo Andrew wa hiyo Gmicrofinance anafahama pia itasaidia maana jamaa kataja mpaka eneo ilipo ofisi hata huyo Askari ambaye kituo chake cha kazi kinafahamika
Kama waliweza kuwa na pingu basi na siraha uwenda walikuwa nayo na vile vile ukute mabosi wao hawajui hiyo operation mtafuteni kamanda wa mkoa mjulisheni
Tufanye Malisa GJ na Boniface Jacob wamepotosha jamii, tufanye hivyo yaani kirahisi.....
Kauli ya SACP Muliro, ina utata sana ukimsikiliza kwa sikio la ndani, baada ya kupotea Robert Mashuhuda walidai alichukuliwa Kariakoo na Watu waliojitambulisha kuwa Polisi .........
Taarifa ya Muliro kwa...
Fatilia taaifa ya muriro siku na tarehe waliyomuokota huyo ndugu na siku ndugu wanampata yaani April 11 kumuokota, April 21 ndugu kumpata muwe mnajiongeza mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.