Search results

  1. M

    Dodoma kunashida ya uelewa

    Jana nili tazama taarifa ya habari ya saa mbili usiku nikaishia ujifunza yafuatayo; #Habari:Asilimia 56 ya watoto wenye umri chini ya miaka mitano mkoani Dodoma wanakabiliwa na ugonjwa wa utapiamlo sugu na udumavu kutokana na kukosa lishe bora hali inayochangia kuathiri mfumo wa ukuaji wa...
  2. M

    Afyeka nyeti zake, aagiza zipelekwe kwa wanawake 2

    KIJANA Priva Elian (29) anayeishi Useri wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro, amefyeka sehemu zake za siri na kuziondoa, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kugombaniwa na wanawake wawili. Wakizungumza na gazeti hili, baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo, walidai kijana huyo anayefanya biashara kati ya...
  3. M

    Wabunge, Masaburi yaibuka tena upya

    MSUGUANO kati ya wabunge wa Dar es Salaam na Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi, umeibuka upya baada ya wabunge hao kusema wamepata nyaraka mpya za tuhuma za ufisadi, ukiukwaji wa sheria katika suala la ubinafsishaji wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA). Kamati ya Wabunge...
  4. M

    Kinana: Wanaotaka urais 2015 wamvuruga Kikwete

    Palipo na Moshi ndani kunawaka moto. Kama Kinana naye amefika mahali pa Kusemea adharani ujue kuwa kuna mambo ndani ya cham achetu hayaendi vizuri. Wanachama tuombe kuonanan na mwenyekiti wetu hatutolee haya matatizo. Source: Kinana: Wanaotaka urais 2015 wamvuruga Kikwete
  5. M

    Rais huyu kiboko. Mweeeeeh

    Rais Jakaya Kikwete akijiandaa kumzawadia fedha, mtoto Liano Adamu (7) ambaye ni mwanafunzi wa Shule ya Msingi Ruaha Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro baada ya kuvutiwa na uchezaji wake wa ngoma ya Lizombe ya kabila la Wangoni. Rais yupo mkoani humo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu. Nyuma ya Rais...
  6. M

    UCHUMI wetu unavyoliwa

    Sina maneno, check mchoro
  7. M

    Serikali TOKA usingizini Mkomboe mwananchi wako!

    Wapendwa watanzania wenzangu, Nimeshuudia kwa takriban miaka miaka saba sasa Tangu Benjamini William Mkapa akabidhi nchi kwa JK, Hali ya mwana nchi mpiga kura inaendelea kudorora na hatua madhubuti azichukuliwi kumsaidia. Ninachoshuudia ni matajiri na wezi wa uchumi wa nchi ya wananchi...
  8. M

    Babu Loliondo azidi kuvuma Ng'ambo

    Jamani hapa nagasaki university kuna maprofessor 4 wanajiandaa kuja huko kupata kikombe. wanamatatizo mbalimbali , ikiwepo pressure, kisukari na kjogoo kutopanda mtungi. Pia Kenya wameamasika sana na wanamiminika sana. angalia hapa: Daily Nation: - DN2 |Africa
  9. M

    Ccm inavunja sheria za nchi

    Wapendwa wanajamii, mwaka jana nilionda BAshe akivuliwa ushindi wa kugombea ubunge kwa tiketi ya CCM kisa si mtanzania, Je leo imekuwaje CCM inampa kazi mtu asiye raia kuratibu uhai wa chama hicho? Inaudhi sana. Je nini kifanyike?
  10. M

    Haya ndiyo maisha yanayomkabili mtanzania

    haya ndio maisha ya kila siku kwa serikali na raia
  11. M

    Waliokufa Loliondo wamsikitisha mchungaji

    Wana JF, hali ni mbaya loliondo. Kwanini wagonjwa waliopo kwenye coma wanapelekwa huko? Sipendi mtu afe ila tuangalie ukweli zaidi Source: GAZETI HURU LA KILA SIKU:: Waliokufa Loliondo wamsikitisha mchungaji
  12. M

    Shibuda: CCM isigeuze Polisi kuwa 'ICU' yake

    Wna JF kweli CCM imebebwa ila haibebeki tena na mbeleko inaelekea kukatika sasa. Source: Shibuda: CCM isigeuze Polisi kuwa 'ICU' yake
  13. M

    Kwa chiligati haya ni matusi na sio upungufu

    Nimeshtushwa na kauli za Mh. chiligati kuwa chadema wanahubiri fujo. Chadema wanadai haki za msingi za watanzania na kuomba utekelezaji na haki yake. Na si vinginevyo. Moja ya mambo hayo ni elimu duni na miundo mbinu duni. Je hilo ni tusi. Hushaidi huu hapa na chiligati aibuke tena, watoto wa...
  14. M

    Libya kumekucha

    watanzania ni sisi tu tumebaki. Naomba sana tazama hizo picha toka lybia Source: Protester removes Libyan flag - Yahoo! News Photos
  15. M

    Dowans vita mpya

    Mtifuano kati ya serikali na nguvu ya umma umezidi kupamba moto. Nani atahibuka kidedea? Source: Dowans vita mpya
  16. M

    BREAKING NEWS: Sikiliza LIve kilio cha watanzania redio maria

    Ni kipindi cha maoni yako, wanatoa kilio cha matokeo mabovu ya form four Source: http://www.radiomaria.org/media/start.asp?SOURCE=tanzania&TITLE=tanzania
  17. M

    Meya wa CCM abwaga manyanga!

    HUYU MEYA AMESOMA ALAMA ZA NYAKATI AKAONA ANAPWAYA MEYA wa Manispaa ya Sumbawanga, mkoani Rukwa, Samweli Kisabwiti kupitia CCM ametangaza kujiuzulu wadhifa wake, zikiwa zimepita siku 45 tu tangu alipochaguliwa kushika nafasi hiyo. Hatua ya hiyo ya Meya Kisabwiti imekuja siku chache tangu...
  18. M

    Tucta mpo wapi? No January Salary!

    NIMESIKITISHWA SANA NA UKIMYA WA VIONGOZI WA TUCTA. MPAKA SASA WAFANYA KAZI WA SERIKALI NA TAASISI ZAKE AWAJAPATA MSHAHARA WA JANUARY. JE FEBRUARY WANAENDA KAZINI KWA BUDGET GANI? AU NDIO NJIA YA KUPUNGUZA WATAKAO SHINDWAA KUFIKA JOBU KWA KUKOSA NAULI. JANUARY NI MWEZI MGUMU SANA KWA...
  19. M

    Katuni hii imefikisha ujumbe

    watanzania jasho la damu litatutoka kwa Dowans. Mishahara hakuna wafanyakazi wa serikali. Hazina ni kavu. Na ukipata utalipiwa dirishani. Je kwa ugumu huu wezi watawaacha wafanyakazi? Je tutafika na Rais keshaanza safari za nje???????????
  20. M

    Serikali isaidie wajasiria mali wa kigeni

    This picture as real caused me to me emotional against our ministers who never give priorities to their citizens. Why cant they abolish this foreigners to do the work local people can do? foreigners have to be here in Tanzania with special skills not even the skills we have.
Back
Top Bottom