Habari wadau.
Naomba kujua kama kuna uwezekano wa muajiriwa wa serikali kuhama wizara kwenda wizara nyingine. Je, mwajiriwa anaweza akaomba kwenda wizara nyingine kama ana vigezo vinavyokidhi kuhamia wizara husika?.
Tafadhali naomba kufahamishwa kwa yeyote mwenye taarifa na hili.
Natanguliza...
..mleta uzi umechambua vizuri na emetiririka kimantiki.tatizo hapa kuna ushabiki ambao hauna maana na kuna watu wanahisi wao tu ndio wanaijua sana UD..ni upuuzi na kujilisha upepo.ukweli ni ukweli
..sithani kama zitto hana akili kiasi hicho,alijua na anajua kuwa hatakuwa waziri mkuu,.ila mpaka uchaguzi ufanyike umaarufu wa chama chake utaongezeka maradufu,na hili ndo lilikuwa LENGO lake kubwa...na atafanikiwa
Habari wana jamvi, naomba nisaidiwe maneno haya mawili yanavyotaitwa kwa kiingereza au kwa majina ya kibaologia
1. Mibono
2.Minyonyo
Natanguliza shukrani zangu za dhati...
...kuna watu wanafanya meditation bila kujua..na hii inategemea na utulivu wa hali ya juu wa mhusika na mazingira ya maisha kiujumla...BINADAMU KAMA WANYAMA WENGINE ANA MACHALE..NA NI KILA BINADAMU.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.