Search results

  1. Nnangale

    UKAWA na Katiba

    Mheshimiwa habari za kampeni naona kama mnaendelea vyema, suala la katiba mpya silisikii tena kwenye kampeni zenu naomba suala hili lipewe uzito kwani ndilo linalo weza kuleta ufumbuzi wa matatizo mengi yanayo wakabili watanzania kwa sasa,kampeni njema.
Back
Top Bottom